Surah Buruj aya 12 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّ بَطْشَ رَبِّكَ لَشَدِيدٌ﴾
[ البروج: 12]
Hakika kutesa kwa Mola wako Mlezi ni kukali.
Surah Al-Burooj in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, the vengeance of your Lord is severe.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika kutesa kwa Mola wako Mlezi ni kukali.
Hakika mshiko wa Mola wako Mlezi kuwashika majabari umefika ukomo kwa ukali wake
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Sivyo hivyo, bali anaye timiza ahadi yake na akamchamngu basi Mwenyezi Mungu huwapenda wachamngu.
- Hakika haya ndiyo maelezo ya kweli. Na hakuna mungu ila Mwenyezi Mungu tu, na hakika
- Na akaweka pazia kujikinga nao. Tukampelekea Roho wetu, akajifananisha kwake sawa na mtu.
- Na hatuilazimishi nafsi ila kwa kadri ya uwezo wake. Na tunacho kitabu kisemacho kweli. Nao
- Kwa walio asi ndio makaazi yao,
- Na kwa yakini huu Umma wenu ni Umma mmoja, na Mimi ni Mola wenu Mlezi,
- Hawatasikia humo upuuzi wala uwongo -
- Humo watakuwamo wanawake watulizao macho yao; hajawagusa mtu kabla yao wala jini.
- Sema: Ni nani Mola Mlezi wa mbingu saba na Mola Mlezi wa A'rshi Kuu?
- Na bila ya shaka hii ni Uteremsho wa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Buruj with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Buruj mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Buruj Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



