Surah Naml aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿هُدًى وَبُشْرَىٰ لِلْمُؤْمِنِينَ﴾
[ النمل: 2]
Uwongofu na bishara kwa Waumini,
Surah An-Naml in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
As guidance and good tidings for the believers
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Uwongofu na bishara kwa Waumini!
Na hii Qurani ni Uwongofu wa kuwaahidi Waumini waifuate njia ya kheri, na kufuzu duniani na Akhera, na inawabashiria kuwa watapata malipo mazuri.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wataelekeana wakiulizana.
- Kwani huoni kwamba Mwenyezi Mungu huuingiza usiku katika mchana, na huuingiza mchana katika usiku, na
- Je! Hawaangalii mbingu zilizo juu yao! Vipi tulivyo zijenga, na tukazipamba. Wala hazina nyufa.
- Akawakaribisha, akasema: Mbona hamli?
- Na Firauni na walio mtangulia, na miji iliyo pinduliwa chini juu, walileta khatia.
- Na akaweka humo milima juu yake, na akabarikia humo na akakadiria humo chakula chake katika
- Na waulize Mitume wetu tulio watuma kabla yako: Je! Tulifanya miungu mingine iabudiwe badala ya
- Kwa neema inayo toka kwetu. Hivyo ndivyo tumlipavyo anaye shukuru.
- Inaongoza kwenye uwongofu, kwa hivyo tumeiamini, wala hatutamshirikisha yeyote na Mola wetu Mlezi.
- Akasema: Mimi ndiye Mola wenu Mlezi mkuu kabisa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Naml with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Naml mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Naml Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



