Surah Naml aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿هُدًى وَبُشْرَىٰ لِلْمُؤْمِنِينَ﴾
[ النمل: 2]
Uwongofu na bishara kwa Waumini,
Surah An-Naml in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
As guidance and good tidings for the believers
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Uwongofu na bishara kwa Waumini!
Na hii Qurani ni Uwongofu wa kuwaahidi Waumini waifuate njia ya kheri, na kufuzu duniani na Akhera, na inawabashiria kuwa watapata malipo mazuri.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Tena Mola wake Mlezi akampokea kwa mapokeo mema na akamkuza makuzo mema, na akamfanya Zakariya
- (Musa) akasema: Basi ondoka! Na kwa yakini utakuwa katika maisha ukisema: Usiniguse. Na hakika una
- Na tuna nini hata tusimtegemee Mwenyezi Mungu, na hali Yeye ametuongoa kwenye Njia zetu. Na
- Akasema: Hakika mimi ni mgonjwa!
- Na msipo niletea basi hampati kipimo chochote kwangu, wala msinikurubie.
- Sisi tunakusimulia khabari zao kwa kweli. Hakika wao walikuwa ni vijana walio muamini Mola wao
- Siku hiyo marafiki watakuwa ni maadui, wao kwa wao, isipo kuwa wachamngu.
- Alipo waambia ndugu yao, Nuhu: Je! Hamchimngu?
- Kwa hakika Mwenyezi Mungu anajua kila kitu wanacho kiomba badala yake Yeye. Na Yeye ndiye
- Au uwe na kitalu cha mitende na mizabibu, na utupitishie mito kati yake ikimiminika.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Naml with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Naml mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Naml Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers