Surah Anam aya 131 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Anam aya 131 in arabic text(The Cattle).
  
   
ayat 131 from Surah Al-Anam

﴿ذَٰلِكَ أَن لَّمْ يَكُن رَّبُّكَ مُهْلِكَ الْقُرَىٰ بِظُلْمٍ وَأَهْلُهَا غَافِلُونَ﴾
[ الأنعام: 131]

Hayo ni kwa sababu ya kuwa Mola wako Mlezi hakuwa wa kuiangamiza miji kwa dhulma, hali wenyewe wameghafilika.

Surah Al-Anam in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


That is because your Lord would not destroy the cities for wrongdoing while their people were unaware.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hayo ni kwa sababu ya kuwa Mola wako Mlezi hakuwa wa kuiangamiza miji kwa dhulma, hali wenyewe wameghafilika.


Na huku kutuma Mitume, wenye kuonya na kubainisha ni kwa kuwa Mola wako Mlezi, ewe Nabii, haiangamizi miji kwa dhulma yao na watu wake wameghafilika na Haki tu. Bali hapana budi ila awabainishie kwa uwazi na awaonye.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 131 from Anam


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hayo ni kwa sababu nyinyi mlizifanyia mzaha Aya za Mwenyezi Mungu; na maisha ya dunia
  2. Nendeni mtoke, mkiwa wepesi na wazito, na piganeni Jihadi kwa mali yenu na nafsi zenu
  3. Na Mwenyezi Mungu amekuotesheni katika ardhi kama mimea.
  4. Hakika huo Moto ni katika mambo yaliyo makubwa kabisa!
  5. Hivi ndivyo Mwenyezi Mungu Mwenye nguvu na Mwenye hikima anavyo kuletea Wahyi wewe na walio
  6. Na wakhalifu watauona Moto na watajua ya kwamba wao lazima wataingia humo; wala hawatapata pa
  7. Na katika watu yupo yule ambaye maneno yake kwa maisha ya kidunia hukufurahisha; naye humshuhudisha
  8. Wala wamchao Mungu hawana jukumu lolote kwao, lakini ni kukumbusha, asaa wapate kujiepusha.
  9. Hayo ni ili alifanye lile analo litia Shet'ani liwe ni fitna kwa wale wenye maradhi
  10. MITUME hao tumewatukuza baadhi yao juu ya wengineo. Katika wao wapo ambao Mwenyezi Mungu alisema

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Anam with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Anam mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anam Complete with high quality
Surah Anam Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Anam Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Anam Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Anam Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Anam Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Anam Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Anam Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Anam Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Anam Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Anam Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Anam Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Anam Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Anam Al Hosary
Al Hosary
Surah Anam Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Anam Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, March 31, 2025

Please remember us in your sincere prayers