Surah Maarij aya 42 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَذَرْهُمْ يَخُوضُوا وَيَلْعَبُوا حَتَّىٰ يُلَاقُوا يَوْمَهُمُ الَّذِي يُوعَدُونَ﴾
[ المعارج: 42]
Basi waache wapige porojo na wacheze, mpaka wakutane na siku yao wanayo ahidiwa,
Surah Al-Maarij in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So leave them to converse vainly and amuse themselves until they meet their Day which they are promised -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi waache wapige porojo na wacheze, mpaka wakutane na siku yao wanayo ahidiwa,
Basi waachilie wakiporojoka katika upotovu wao, na wakicheza na dunia yao, mpaka wakutane na siku yao waliyo ahidiwa kupewa adhabu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na kwa mji huu wenye amani!
- Na wakasema: Ewe mchawi! Tuombee kwa Mola wako Mlezi kwa ile ahadi aliyo kuahidi; hakika
- Hakika hii Qur'ani inaongoa kwenye ya yaliyo nyooka kabisa, na inawabashiria Waumini ambao wanatenda mema
- Na wakaazi wa Machakani, na watu wa Tubbaa'. Wote hao waliwakanusha Mitume, kwa hivyo onyo
- Na watungaji mashairi ni wapotofu ndio wanawafuata.
- Hakika wanao amini na wakatenda mema watakuwa na ujira usio na ukomo.
- Na tukampelekea Musa na ndugu yake wahyi huu: Watengenezeeni majumba watu wenu katika Misri na
- Sema: Siimilikii nafsi yangu manufaa wala madhara, ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Na lau kuwa ninayajua
- Huyo ndiye anaye msukuma yatima,
- Na wanao jitetea baada ya kudhulumiwa, hao hapana njia ya kuwalaumu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Maarij with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Maarij mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maarij Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers