Surah Maarij aya 42 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَذَرْهُمْ يَخُوضُوا وَيَلْعَبُوا حَتَّىٰ يُلَاقُوا يَوْمَهُمُ الَّذِي يُوعَدُونَ﴾
[ المعارج: 42]
Basi waache wapige porojo na wacheze, mpaka wakutane na siku yao wanayo ahidiwa,
Surah Al-Maarij in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
So leave them to converse vainly and amuse themselves until they meet their Day which they are promised -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi waache wapige porojo na wacheze, mpaka wakutane na siku yao wanayo ahidiwa,
Basi waachilie wakiporojoka katika upotovu wao, na wakicheza na dunia yao, mpaka wakutane na siku yao waliyo ahidiwa kupewa adhabu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na wale walio amini na wakatenda mema, hao ndio watu wa Peponi, humo watadumu.
- Na mkizihisabu neema za Mwenyezi Mungu, hamwezi kuzidhibiti. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye maghfira, Mwenye
- Anaye kadhibisha na kupa mgongo.
- Na likumbuke jina la Mola wako Mlezi asubuhi na jioni;
- Ama wale walio muamini Mwenyezi Mungu, na wakashikamana naye, basi atawatia katika rehema yake na
- Nitamtesa kwa mateso yasio wezekana.
- Na hao watu wa Mnyanyukoni watawaita watu wanao wajua kwa alama zao. Watasema: Kujumuika kwenu
- Na waache kwa muda.
- Basi tukamsamehe kwa hayo. Naye kwa hakika anao mkaribisho mkubwa na marejeo mazuri kwetu.
- Haya haya tuliahidiwa sisi na baba zetu zamani. Hayakuwa haya ila ni hadithi za uwongo
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Maarij with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Maarij mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maarij Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers