Surah Araf aya 131 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Araf aya 131 in arabic text(The Heights).
  
   
ayat 131 from Surah Al-Araf

﴿فَإِذَا جَاءَتْهُمُ الْحَسَنَةُ قَالُوا لَنَا هَٰذِهِ ۖ وَإِن تُصِبْهُمْ سَيِّئَةٌ يَطَّيَّرُوا بِمُوسَىٰ وَمَن مَّعَهُ ۗ أَلَا إِنَّمَا طَائِرُهُمْ عِندَ اللَّهِ وَلَٰكِنَّ أَكْثَرَهُمْ لَا يَعْلَمُونَ
[ الأعراف: 131]

Likiwafika jema wakisema: Haya ni haki yetu. Na likiwafika ovu husema: Musa na walio pamoja naye ni wakorofi. Hakika ukorofi wao huo unao wafikia unatoka kwa Mwenyezi Mungu. Lakini wengi wao hawajui.

Surah Al-Araf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


But when good came to them, they said, "This is ours [by right]." And if a bad [condition] struck them, they saw an evil omen in Moses and those with him. Unquestionably, their fortune is with Allah, but most of them do not know.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Likiwafika jema wakisema: Haya ni haki yetu. Na likiwafika ovu husema: Musa na walio pamoja naye ni wakorofi. Hakika ukorofi wao huo unao wafikia unatoka kwa Mwenyezi Mungu. Lakini wengi wao hawajui.


Lakini tabia ya Firauni na wasaidizi wake ni kuto thibiti juu ya Haki. Wepesi kurejea kwenye khiana na uasi. Hao ni watu wa kigeugeu! Ikiwajia kutononoka na neema - na mara nyingi huwa hivyo - wao wakisema: Sisi tunastahiki haya tuliyo nayo kuwapita watu wengineo! Na likiwasibu la kuwaudhi, kama ukame, au tauni, au msiba wa miili au riziki, wakiona yamewapata hayo kwa ukorofi wa Musa na walio pamoja naye. Na wanaghafilika kuwa dhulma zao, na fisadi zao ndizo zilizo pelekea kuja hayo yanayo wapata! Basi na watanabahi, na wajue kuwa ujuzi wa ukorofi wao uko kwa Mwenyezi Mungu. Yeye ndiye anaye wapatiliza kwa sababu ya vitendo vyao viovu. Yeye ndiye anaye wapelekea hayo yanao waudhi, wala si Musa na alio nao. Lakini wengi wao hawaijui Hakika ambayo haina shaka.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 131 from Araf


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Araf with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Araf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Araf Complete with high quality
    Surah Araf Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Araf Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Araf Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Araf Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Araf Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Araf Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Araf Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Araf Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Araf Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Araf Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Araf Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Araf Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Araf Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Araf Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Araf Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Tuesday, June 24, 2025

    Please remember us in your sincere prayers