Surah Araf aya 132 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَقَالُوا مَهْمَا تَأْتِنَا بِهِ مِنْ آيَةٍ لِّتَسْحَرَنَا بِهَا فَمَا نَحْنُ لَكَ بِمُؤْمِنِينَ﴾
[ الأعراف: 132]
Na wakisema: Hata ukituletea Ishara yoyote kutuzuga hatuto kuamini.
Surah Al-Araf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And they said, "No matter what sign you bring us with which to bewitch us, we will not be believers in you."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na wakisema: Hata ukituletea Ishara yoyote kutuzuga hatuto kuamini.
Na kwa hii fikra mbovu waliyo nayo wakaendelea na upinzani. Walisema walipo ona miujiza ya Musa: Wewe hata ukituletea kila namna ya Ishara zinazo onyesha ukweli wa wito wako, ili kutuachisha dini yetu, na tusiwafanye watumwa watu wako, sisi hatukusadiki wala hatukufuati.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na walisema: Hatutakuamini mpaka ututimbulie chemchem katika ardhi hii.
- Na ambao wanaisadiki Siku ya Malipo,
- Sema: Mimi ni mwanaadamu kama nyinyi. Ninaletewa Wahyi kwamba Mungu wenu ni Mungu Mmoja. Mwenye
- Waulize: Ni nani miongoni mwao dhamini wa haya?
- Hayo ni kwa sababu walikuwa wanawajia Mitume wao kwa hoja zilizo wazi, lakini wakawakataa, ndipo
- Na watatiliwa kizuizi baina yao na hayo wanayo yatamani, kama walivyo fanyiwa wenzao zamani. Hakika
- Na tukimneemesha mwanaadamu hugeuka na kujitenga upande, na inapo mgusa shari, huwa na madua marefu
- Hapana akigusaye ila walio takaswa.
- Na mamaye na babaye,
- Umwambie: Je! Unapenda kujitakasa?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Araf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Araf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Araf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers