Surah Buruj aya 14 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَهُوَ الْغَفُورُ الْوَدُودُ﴾
[ البروج: 14]
Naye ni Mwenye kusamehe, Mwenye mapenzi,
Surah Al-Burooj in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And He is the Forgiving, the Affectionate,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Naye ni Mwenye kusamehe, Mwenye mapenzi,
Na Yeye ni Mwingi wa msamaha kwa mwenye kutubu na akarejea, na Mwingi wa mapenzi kwa mwenye kumpenda na akamtii.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wala msiwategemee wanao dhulumu, usije ukakuguseni Moto. Wala nyinyi hamna walinzi badala ya Mwenyezi Mungu,
- Kisha tutawaokoa wale walio mchamngu; na tutawaacha madhaalimu humo wamepiga magoti.
- Aliye umba, na akaweka sawa,
- Hakika Sisi tumekutuma kwa Haki uwe mbashiri, na mwonyaji. Na wala hutaulizwa juu ya watu
- Kwani! Sisi tunaweza hata kuziweka sawa sawa ncha za vidole vyake!
- Na yeye hakuwa na mamlaka yoyote juu yao, ila kwa sababu ya kuwajaribu tujue nani
- Mungu wa wanaadamu,
- Isipo kuwa wanao sali,
- Na pindi mkiuliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu, au mkifa, hakika maghfira na rehema zitokazo
- Hao ndio Mwenyezi Mungu amewalaani. Na ambaye Mwenyezi Mungu amemlaani basi hutamwona kuwa na mwenye
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Buruj with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Buruj mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Buruj Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers