Surah Insan aya 17 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَيُسْقَوْنَ فِيهَا كَأْسًا كَانَ مِزَاجُهَا زَنجَبِيلًا﴾
[ الإنسان: 17]
Na humo watanyweshwa kinywaji kilicho changanyika na tangawizi.
Surah Al-Insan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And they will be given to drink a cup [of wine] whose mixture is of ginger
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na humo watanyweshwa kinywaji kilicho changanyika na tangawizi.
Na watu wema hupewa kunywa huko Peponi mvinyo inayo fanana na sharubati ya tangawizi kwa utamu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Naapa kwa zinazo tumwa kwa upole!
- Subhana 'Llah Ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo msingizia.
- Lakini Mtume na wale walio amini pamoja naye waliwania Jihadi kwa mali zao na nafsi
- Na hakika bila ya shaka tulimpa Musa Kitabu baada ya kwisha ziangamiza kaumu za mwanzo,
- Hali ya wasio iamini Akhera ni ovu; na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye sifa tukufu. Naye
- Kwa hakika wale walio kuwa wakosefu walikuwa wakiwacheka walio amini.
- Hawatasikia humo upuuzi.
- Hakika walio amini, na Mayahudi na Masabii na Wakristo, walio muamini Mwenyezi Mungu, na Siku
- Hakika hivyo ndivyo tunavyo walipa walio wema.
- Tulipo kufanyeni ni sawa na Mola Mlezi wa walimwengu wote.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Insan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Insan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Insan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers