Surah Insan aya 17 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَيُسْقَوْنَ فِيهَا كَأْسًا كَانَ مِزَاجُهَا زَنجَبِيلًا﴾
[ الإنسان: 17]
Na humo watanyweshwa kinywaji kilicho changanyika na tangawizi.
Surah Al-Insan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And they will be given to drink a cup [of wine] whose mixture is of ginger
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na humo watanyweshwa kinywaji kilicho changanyika na tangawizi.
Na watu wema hupewa kunywa huko Peponi mvinyo inayo fanana na sharubati ya tangawizi kwa utamu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na hakika hutapata kiu humo wala hutapata joto.
- Naapa kwa usiku unapo funika!
- Hakika walio kufuru na wakazuilia Njia ya Mwenyezi Mungu, wamekwisha potelea mbali.
- Akasema: Mnanibashiria nami uzee umenishika! Basi kwa njia gani mnanibashiria?
- Ambaye amekufanyieni ardhi kama tandiko, na akakufanyieni ndani yake njia mpate kuongoka.
- Na tukamchukua kwenye safina ya mbao na kamba.
- Zikifanya kazi, nazo taabani.
- Enyi Mitume! Kuleni vyakula vizuri na tendeni mema. Hakika Mimi ni Mjuzi wa mnayo yatenda.
- Na ilipo wafikia Haki wakasema: Huu ni uchawi, na sisi hakika tunaukataa.
- Lakini wanao taka kinyume ya haya, basi hao ndio wanao ruka mipaka.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Insan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Insan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Insan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers