Surah Zalzalah aya 6 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يَوْمَئِذٍ يَصْدُرُ النَّاسُ أَشْتَاتًا لِّيُرَوْا أَعْمَالَهُمْ﴾
[ الزلزلة: 6]
Siku hiyo watu watatoka kwa mfarakano wakaonyweshwe vitendo vyao!
Surah Az-Zalzalah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
That Day, the people will depart separated [into categories] to be shown [the result of] their deeds.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Siku hiyo watu watatoka kwa mfarakano wakaonyweshwe vitendo vyao!
Siku hiyo watu watatoka makaburini mbio, nao wamo katika mtafaruku, wapate kuziona hisabu zao na malipo yao aliyo waahidi Mwenyezi Mungu.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika Sisi tumekuteremshia Qur'ani kidogo kidogo.
- Mola wangu Mlezi! Nitunukie hukumu na uniunganishe na watendao mema.
- Enyi Mlio amini! Mkikutana na walio kufuru vitani msiwageuzie mgongo.
- Wala Sisi hatukuwadhulumu, bali wao ndio walio kuwa madhaalimu.
- Ambao wanadumisha Sala zao,
- Na ama walio kufuru, wataambiwa: Kwani hamkuwa mkisomewa Aya zangu nanyi mkapanda kichwa, na mkawa
- Wakasema: Mchomeni moto, na muinusuru miungu yenu, ikiwa nyinyi ni watendao jambo!
- Basi hukumu baina yangu na wao kwa hukumu yako, na uniokoe mimi na walio pamoja
- Naapa kwa usiku unapo funika!
- Kilipo ufunika huo Mkunazi hicho kilicho ufunuika.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Zalzalah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Zalzalah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zalzalah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



