Surah Jathiyah aya 17 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Jathiyah aya 17 in arabic text(The Kneeling Down).
  
   

﴿وَآتَيْنَاهُم بَيِّنَاتٍ مِّنَ الْأَمْرِ ۖ فَمَا اخْتَلَفُوا إِلَّا مِن بَعْدِ مَا جَاءَهُمُ الْعِلْمُ بَغْيًا بَيْنَهُمْ ۚ إِنَّ رَبَّكَ يَقْضِي بَيْنَهُمْ يَوْمَ الْقِيَامَةِ فِيمَا كَانُوا فِيهِ يَخْتَلِفُونَ
[ الجاثية: 17]

Na tukawapa maelezo wazi ya amri. Basi hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa ajili ya uhasidi uliyo kuwa baina yao. Hakika Mola wako Mlezi atahukumu baina yao Siku ya Kiyama katika mambo waliyo kuwa wakikhitalifiana.

Surah Al-Jaathiyah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And We gave them clear proofs of the matter [of religion]. And they did not differ except after knowledge had come to them - out of jealous animosity between themselves. Indeed, your Lord will judge between them on the Day of Resurrection concerning that over which they used to differ.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na tukawapa maelezo wazi ya amri. Basi hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa ajili ya uhasidi uliyo kuwa baina yao. Hakika Mola wako Mlezi atahukumu baina yao Siku ya Kiyama katika mambo waliyo kuwa wakikhitalifiana.


Na tumewapa dalili wazi katika mambo ya Dini yao. Basi haikutokea khitilafu baina yao ila baada ya kwisha wajia ujuzi wa hakika ya Dini na hukumu zake. Na hayo ni kwa uadui na uhasidi tu ulio baina yao. Hakika Mola wako Mlezi atapambanua baina ya hao wanao khitalifiana Siku ya Kiyama katika mambo waliyo kuwa wamekhitalifiana.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 17 from Jathiyah


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Jathiyah with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Jathiyah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Jathiyah Complete with high quality
    Surah Jathiyah Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Jathiyah Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Jathiyah Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Jathiyah Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Jathiyah Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Jathiyah Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Jathiyah Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Jathiyah Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Jathiyah Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Jathiyah Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Jathiyah Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Jathiyah Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Jathiyah Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Jathiyah Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Jathiyah Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Tuesday, April 8, 2025

    Please remember us in your sincere prayers