Surah Buruj aya 17 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿هَلْ أَتَاكَ حَدِيثُ الْجُنُودِ﴾
[ البروج: 17]
Je! Zimekuwasilia khabari za majeshi?
Surah Al-Burooj in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Has there reached you the story of the soldiers -
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Je! Zimekuwasilia khabari za majeshi?
Je! Imekujia, ewe Muhammad, hadithi ya kile kikundi kilicho Asi katika mataifa yaliyo kwisha pita?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Isipo kuwa Mwenyezi Mungu akipenda. Na mkumbuke Mola wako Mlezi pale unapo sahau, na sema:
- Na watakuwa nao wanawake wenye macho ya staha mazuri.
- Na kwa Madyana tulimtuma ndugu yao Shuaibu, naye akasema: Enyi watu wangu! Muabuduni Mwenyezi Mungu
- Ama walio amini na wakatenda mema watafurahishwa katika Bustani.
- Uwongofu na bishara kwa Waumini,
- Humo wataegemea juu ya viti vya enzi, hawataona humo jua kali wala baridi kali.
- Sema: Ikiwa nyumba ya Akhera iliyoko kwa Mwenyezi Mungu ni yenu tu bila ya watu
- Na wale katika nyinyi wenye fadhila na wasaa wasiape kutowapa jamaa zao na masikini na
- Au wanawaabudu miungu mingine badala yake? Sema: Leteni ushahidi wenu! Haya ni ukumbusho wa hawa
- Wameikanusha Haki ilipo wajia. Basi zitawajia khabari za yale waliyo kuwa wakiyakejeli.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Buruj with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Buruj mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Buruj Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers