Surah Buruj aya 16 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَعَّالٌ لِّمَا يُرِيدُ﴾
[ البروج: 16]
Atendaye ayatakayo.
Surah Al-Burooj in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Effecter of what He intends.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Atendaye ayatakayo.
Ni Mtendaji kwa alitakalo, na hendi kinyume na uweza wake yeyote anaye taka.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na hakika waovu bila ya shaka watakuwa Motoni;
- Na matunda, na malisho ya wanyama;
- Msikimbie! Na rejeeni kwenye zile zile starehe zenu, na maskani zenu, mpate kusailiwa!
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Wanataka kuizima nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao. Na Mwenyezi Mungu atakamilisha nuru yake
- Na hakika tulimwonyesha ishara zetu zote. Lakini alikadhibisha na akakataa.
- Hakika wale walio kufuru hutoa mali yao ili kuzuilia Njia ya Mwenyezi Mungu. Basi watayatoa,
- Isipo kuwa wale walio tubu, na wakatengeneza na wakashikamana na Mwenyezi Mungu, na wakamtakasia Dini
- Akasema: Mola wangu Mlezi! Hakika mimi similiki ila nafsi yangu na ndugu yangu. Basi tutenge
- Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa ni Shahidi baina yangu na nyinyi. Anayajua yaliomo katika mbingu
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Buruj with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Buruj mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Buruj Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



