Surah Nasr aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَرَأَيْتَ النَّاسَ يَدْخُلُونَ فِي دِينِ اللَّهِ أَفْوَاجًا﴾
[ النصر: 2]
Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi,
Surah An-Nasr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And you see the people entering into the religion of Allah in multitudes,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi,
Na ukawaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu makundi kwa makundi,
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na ni vya Mwenyezi Mungu viliomo katika mbingu na viliomo katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu
- Na ardhi ameiweka kwa ajili ya viumbe.
- Au iko kwao siri, basi wao wanaiandika?
- Na katika usiku pia mtakase, na baada ya kusujudu.
- Na watatiliwa kizuizi baina yao na hayo wanayo yatamani, kama walivyo fanyiwa wenzao zamani. Hakika
- Basi wakigeuka, wewe sema: Mwenyezi Mungu ananitosheleza. Hapana mungu isipokuwa Yeye tu. Mimi namtegemea Yeye,
- Macho hayamfikilii bali Yeye anayafikilia macho. Naye ni Mjuzi, Mwenye khabari.
- Na hakika tulikwisha kufanyia hisani mara nyengine...
- Yeye ndiye anaye kuonyesheni umeme kwa khofu na tamaa, na huyaleta mawingu mazito.
- Wanakuuliza khabarai ya miezi. Sema: Hiyo ni vipimo vya nyakati kwa ajili ya watu na
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Nasr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Nasr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nasr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



