Surah Nasr aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Nasr aya 3 in arabic text(Victory).
  
   

﴿فَسَبِّحْ بِحَمْدِ رَبِّكَ وَاسْتَغْفِرْهُ ۚ إِنَّهُ كَانَ تَوَّابًا
[ النصر: 3]

Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.

Surah An-Nasr in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Then exalt [Him] with praise of your Lord and ask forgiveness of Him. Indeed, He is ever Accepting of repentance.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.


Basi mshukuru Mola wako Mlezi, na Sabbih , Mtakase kwa sifa zake, na mtake akusamehe wewe na umma wako, kwani hakika Yeye ni Mwingi wa kupokea toba za waja wake. Maoni ya wataalamu juu ya Surat Annasr:- Sura hii tukufu inaashiria kugomboka kwa Makka. Na sababu khasa iliyo pelekea kugomboka Makka ni Maqureshi walipo vunja mkataba wa amani wa Hudaibiya kwa kuwashambulia kabila ya Khuzaa, ambao walikuwa wana masikilizano na Mtume s.a.w., na wakawasaidia Bani Bakri katika hayo. Yalipo tokea hayo Mtume akaona waliyo yafanya Maqureshi kuvunja mapatano imembidi ende kuigomboa Makka. Basi akakusanya jeshi la nguvu lenye wapiganaji elfu kumi. Akenda mwezi wa Ramadhani katika mwaka wa nane wa Hijra (Desemba mwaka 630 B.K.) Akawazuia watu wake wasipigane ila wakilazimishwa. Na Mwenyezi Mungu alipenda aingie Nabii na jeshi lake Makka bila ya vita. Na kwa hivi akapata ushindi mkubwa kabisa katika taarikhi ya wito wa Kiislamu, bila ya vita. Na Mwenyezi Mungu akamwezesha kusimamisha dola ya kwanza duniani bila ya vita na bila ya kumwagwa damu. Na huo ugombozi wa Makka ulikuwa na athari za kufikia mbali kwa pande za Dini na siyasa, kwani ilikuwa ni kuungoa upagani, kuabudu masanamu, katika ngome yake kubwa, kwa kuvunjwa masanamu yaliyo simamishwa katika Al-kaaba, na yakaondolewa mapicha na masanamu yaliyo kuwemo. Na kwa kuingia Makka kwenye boma la Uislamu Nabii s.a.w. aliweza kuzishinda kabila zote zilizo bakia katika Hijazi, ambazo zilizo kuwa zina kani za kijahiliya, kama Hawazan na Thaqif. Mwenyezi Mungu akamwezesha kusimamisha dola si juu ya kabila wala nchi bali juu ya Imani, nayo ni Imani ya Kiislamu, na bendera ya Kiislamu

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 3 from Nasr


Ayats from Quran in Swahili

  1. Katika hao nyinyi mna manufaa mpaka muda maalumu. Kisha pahala pa kuchinjiwa kwake ni kwenye
  2. Hii ndiyo Siku ya Hukumu mliyo kuwa mkiikadhibisha.
  3. Mnadhani mko salama kwa alioko juu kuwa hatakudidimizeni kwenye ardhi, na tahamaki hiyo inatikisika!
  4. Wala usivikodolee macho tulivyo wastareheshea baadhi ya watu miongoni mwao, kwa ajili ya mapambo ya
  5. Na usiku ni Ishara kwao. Tunauvua humo mchana, mara wao wanakuwa gizani.
  6. Na wale ambao wanatoa walicho pewa, na hali nyoyo zao zinagopa kwa kuwa watarejea kwa
  7. Na walisema: Nyoyo zetu zimefunikwa. Bali Mwenyezi Mungu amewalaani kwa kufuru zao: kwa hivyo ni
  8. Hakika tumekuteremshia Ishara zilizo wazi na hapana wanao zikataa ila wapotovu.
  9. Ni kama wale walio kuwa kabla yenu. Walikuwa wana nguvu na mali na watoto zaidi
  10. Yusuf akasema: Yeye ndiye aliye nitaka bila ya mimi kumtaka. Na shahidi aliye kuwa katika

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Nasr with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Nasr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nasr Complete with high quality
Surah Nasr Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Nasr Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Nasr Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Nasr Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Nasr Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Nasr Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Nasr Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Nasr Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Nasr Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Nasr Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Nasr Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Nasr Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Nasr Al Hosary
Al Hosary
Surah Nasr Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Nasr Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, December 6, 2025

Please remember us in your sincere prayers