Surah Saba aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Saba aya 2 in arabic text(Sheba).
  
   
ayat 2 from Surah Saba

﴿يَعْلَمُ مَا يَلِجُ فِي الْأَرْضِ وَمَا يَخْرُجُ مِنْهَا وَمَا يَنزِلُ مِنَ السَّمَاءِ وَمَا يَعْرُجُ فِيهَا ۚ وَهُوَ الرَّحِيمُ الْغَفُورُ
[ سبأ: 2]

Anajua yanayo ingia katika ardhi na yanayo toka humo, na yanayo teremka kutoka mbinguni, na yanayo panda huko. Na Yeye ni Mwenye kurehemu, Mwenye kusamehe.

Surah Saba in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


He knows what penetrates into the earth and what emerges from it and what descends from the heaven and what ascends therein. And He is the Merciful, the Forgiving.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Anajua yanayo ingia katika ardhi na yanayo toka humo, na yanayo teremka kutoka mbinguni, na yanayo panda huko. Na Yeye ni Mwenye kurehemu, Mwenye kusamehe.


Anajua kila kinacho ingia katika sehemu za ardhi, kama maji, na khazina, na vilio zikwa, na sehemu za maiti; na kila kinacho toka, kama wanyama, na mimea, na maadeni, na maji ya visima, na chemchem. Na anajua vinavyo teremka kutoka mbinguni, kama Malaika, na Vitabu wanavyo vipokea Manabii, na mvua, na radi; na anajua vinavyo panda ndani yake na kwendea huko, kama Malaika, na amali za ibada, na roho. Na Yeye ni Mwingi wa rehema, Mkubwa wa kusamehe.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 2 from Saba


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na tukawamiminia mvua. Basi tazama jinsi ulivyo kuwa mwisho wa wakosefu.
  2. Na tukawajongeza hapo wale wengine.
  3. Na akakumbuka jina la Mola wake Mlezi, na akasali.
  4. Watawaita wawaambie: Kwani vile hatukuwa pamoja nanyi? Watawaambia: Ndiyo, lakini mlijifitini wenyewe, na mkasitasita, na
  5. Na walio shirikisha watakapo waona hao walio washirikisha na Mwenyezi Mungu, watasema: Mola wetu Mlezi!
  6. Na wakikukanusha, basi walikwisha kanushwa Mitume kabla yako. Na mambo yote yatarudishwa kwa Mwenyezi Mungu.
  7. Basi akaiendea miungu yao kwa siri, akaiambia: Mbona hamli?
  8. Yeye ndiye aliye kuteremshia Kitabu hichi. Ndani yake zimo Aya muhkam, zenye maana wazi. Hizo
  9. Na ambao hutoa mali yao kwa kuonyesha watu, wala hawamuamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya
  10. Lakini Yeye Mwenyezi Mungu ndiye Mola wangu Mlezi. Wala simshirikishi na yeyote.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Saba with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Saba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Saba Complete with high quality
Surah Saba Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Saba Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Saba Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Saba Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Saba Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Saba Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Saba Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Saba Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Saba Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Saba Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Saba Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Saba Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Saba Al Hosary
Al Hosary
Surah Saba Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Saba Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, June 24, 2026

Please remember us in your sincere prayers