Surah Najm aya 2 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿مَا ضَلَّ صَاحِبُكُمْ وَمَا غَوَىٰ﴾
[ النجم: 2]
Mwenzenu huyu hakupotea, wala hakukosea.
Surah An-Najm in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Your companion [Muhammad] has not strayed, nor has he erred,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Mwenzenu huyu hakupotea, wala hakukosea.
ya kwamba Muhammad hakuiacha Njia iliyo sawa ya kufuata Haki, na wala hakupata kuitakidi upotovu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na tungelitaka tungeli mtukuza kwa hizo Ishara, lakini yeye aliushikilia ulimwengu na akafuata pumbao lake.
- Hawatakuwa na mamlaka ya uombezi ila wale walio chukua ahadi kwa Arrahmani Mwingi wa Rehema..
- Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!
- Na ukiwauliza: Ni nani aliye ziumba mbingu na ardhi. Bila ya shaka watasema: Mwenyezi Mungu.
- Wakasema: Hakika sisi tumetumwa kwa watu wakosefu,
- Enyi mlio amini! Msiue wanyama wa kuwinda nanyi mmeharimia katika Hija. Na miongoni mwenu atakaye
- Na ukipata faragha, fanya juhudi.
- Lut'i akamuamini, na akasema: Mimi nahamia kwa Mola wangu Mlezi. Hakika Yeye ndiye Mwenye nguvu,
- Na wanao hojiana juu ya Mwenyezi Mungu baada ya kukubaliwa, hoja za hawa ni baat'ili
- Na amri yetu haikuwa ila ni moja tu, kama kupepesa jicho.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Najm with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Najm mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Najm Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers