Surah Jinn aya 24 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Jinn aya 24 in arabic text(The Jinn - The Spirits).
  
   

﴿حَتَّىٰ إِذَا رَأَوْا مَا يُوعَدُونَ فَسَيَعْلَمُونَ مَنْ أَضْعَفُ نَاصِرًا وَأَقَلُّ عَدَدًا﴾
[ الجن: 24]

Hata watakapo yaona wanayo ahidiwa, ndipo watakapo jua ni nani mwenye msaidizi dhaifu, na mchache wa idadi.

Surah Al-Jinn in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


[The disbelievers continue] until, when they see that which they are promised, then they will know who is weaker in helpers and less in number.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hata watakapo yaona wanayo ahidiwa, ndipo watakapo jua ni nani mwenye msaidizi dhaifu, na mchache wa idadi.


Hata watakapo iona adhabu waliyo ahidiwaa, hapo basi watajua wakati itapo shuka, nani mwenye msaidizi dhaifu asiye na nguvu, na yupi mchache wa idadi. Ni wao au Waumini?

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 24 from Jinn


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na anaye kufuru, isikuhuzunishe kufuru yake. Kwetu ndio marudio yao, na hapo tutawaambia waliyo yatenda.
  2. Yeye na Malaika wake ndio wanakurehemuni ili kukutoeni gizani mwende kwenye nuru. Naye ni Mwenye
  3. Na katika mali yao ipo haki ya mwenye kuomba na asiye omba.
  4. Na bila ya shaka yeye amekwisha lipoteza kundi kubwa miongoni mwenu. Je, hamkuwa mkifikiri?
  5. Na wamekanusha na wamefuata matamanio yao. Na kila jambo ni lenye kuthibiti.
  6. Siku ambayo nafsi haitakuwa na madaraka yoyote juu ya nafsi; na amri yote siku hiyo
  7. Basi alipo fika (mjumbe) kwa Sulaiman, alisema (Sulaiman): Hivyo ndio nyinyi mnanisaidia kwa mali? Aliyo
  8. Basi waache mpaka wakutane na siku yao watakapo hilikishwa.
  9. Mtume anaye kusomeeni Aya za Mwenyezi Mungu zinazo bainisha, ili kuwatoa walio amini na wakatenda
  10. Je! Wakati haujafika bado kwa walio amini zikanyenyekea nyoyo zao kwa kumkumbuka Mwenyezi Mungu na

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Jinn with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Jinn mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Jinn Complete with high quality
Surah Jinn Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Jinn Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Jinn Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Jinn Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Jinn Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Jinn Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Jinn Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Jinn Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Jinn Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Jinn Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Jinn Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Jinn Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Jinn Al Hosary
Al Hosary
Surah Jinn Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Jinn Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, December 4, 2025

Please remember us in your sincere prayers