Surah Jinn aya 24 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Jinn aya 24 in arabic text(The Jinn - The Spirits).
  
   

﴿حَتَّىٰ إِذَا رَأَوْا مَا يُوعَدُونَ فَسَيَعْلَمُونَ مَنْ أَضْعَفُ نَاصِرًا وَأَقَلُّ عَدَدًا﴾
[ الجن: 24]

Hata watakapo yaona wanayo ahidiwa, ndipo watakapo jua ni nani mwenye msaidizi dhaifu, na mchache wa idadi.

Surah Al-Jinn in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


[The disbelievers continue] until, when they see that which they are promised, then they will know who is weaker in helpers and less in number.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hata watakapo yaona wanayo ahidiwa, ndipo watakapo jua ni nani mwenye msaidizi dhaifu, na mchache wa idadi.


Hata watakapo iona adhabu waliyo ahidiwaa, hapo basi watajua wakati itapo shuka, nani mwenye msaidizi dhaifu asiye na nguvu, na yupi mchache wa idadi. Ni wao au Waumini?

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 24 from Jinn


Ayats from Quran in Swahili

  1. Siku hiyo watamfuata muitaji asiye na upotofu. Na sauti zote zitamnyenyekea Arrahmani Mwingi wa Rahema.
  2. Watanyweshwa kinywaji safi kiliyo tiwa muhuri,
  3. Wakasema: Ewe Mheshimiwa! Huyu anaye baba mzee sana. Kwa hivyo mchukue mmoja wetu badala yake.
  4. Na hakika bila ya shaka haya yamo katika Vitabu vya kale.
  5. Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yaaqub: Enyi wanangu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii;
  6. Na wakasema: Ana nini Mtume huyu? Anakula chakula, na anatembea masokoni! Mbona hakuteremshiwa Malaika akawa
  7. Na atakaye jiepusha na mawaidha yangu, basi kwa yakini atapata maisha yenye dhiki, na Siku
  8. Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, husema: Bali tunafuata tuliyo wakuta nayo baba
  9. Je! Huoni ya kwamba Mwenyezi Mungu huyasukuma mawingu, kisha huyaambatisha, kisha huyafanya mirundi? Basi utaona
  10. Isipo kuwa kikongwe katika walio kaa nyuma.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Jinn with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Jinn mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Jinn Complete with high quality
Surah Jinn Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Jinn Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Jinn Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Jinn Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Jinn Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Jinn Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Jinn Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Jinn Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Jinn Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Jinn Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Jinn Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Jinn Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Jinn Al Hosary
Al Hosary
Surah Jinn Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Jinn Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, August 15, 2024

Please remember us in your sincere prayers