Surah Furqan aya 59 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Furqan aya 59 in arabic text(The Criterion).
  
   

﴿الَّذِي خَلَقَ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ وَمَا بَيْنَهُمَا فِي سِتَّةِ أَيَّامٍ ثُمَّ اسْتَوَىٰ عَلَى الْعَرْشِ ۚ الرَّحْمَٰنُ فَاسْأَلْ بِهِ خَبِيرًا
[ الفرقان: 59]

Ambaye ameziumba mbingu na ardhi, na viliomo ndani yake kwa siku sita. Kisha akatawala juu ya A'rshi, Arrahman, Mwingi wa Rehema! Uliza khabari zake kwa wamjuaye.

Surah Al-Furqan in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


He who created the heavens and the earth and what is between them in six days and then established Himself above the Throne - the Most Merciful, so ask about Him one well informed.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


. Ambaye ameziumba mbingu na ardhi, na viliomo ndani yake kwa siku sita. Kisha akatawala juu ya Arshi, Arrahman, Mwingi wa Rehema! Uliza khabari zake kwa wamjuaye.


Na Mwenyezi Mungu ndiye aliye ziumba mbingu na ardhi na vilio baina yao kwa siku sita. Naye ametawala juu ya Arshi, Kiti cha Enzi, cha Ufalme wote, na madaraka yake yameenea kila kitu. Na Yeye ndiye Mwingi wa Rehema, Arrahman. Na ukitaka lolote katika sifa zake muulize ajuae atakujibu. Naye ni Mwenyezi Mungu Mwenye hikima. -Ambaye ameziumba mbingu na ardhi, na viliomo ndani yake kwa siku sita. Kisha akatawala juu ya Arshi, Arrahman, Mwingi wa Rehema! Ulize khabari zake kwa wamjuaye.- Hizo Siku Sita ni usemi wa Mwenyezi Mungu, Mtukufu Aliye tukuka, kueleza wakati. Na Yeye Mtukufu ndiye Mwenye kujua zaidi kipimo cha hiyo Siku. Na kwa upande wa kiilimu za sayansi kazi ya kuumba ulimwengu unahitaji kupita vipindi na viwango mbali mbali. Na -Mbingu na ardhi na viliomo ndani yake- ni ishara ya vyombo vyote vya mbinguni, nyota, majua, sayari, miezi, mavumbi, gesi za namna mbali mbali, na nishati, Energy , na vyote hivyo vinavyo fanya ndio ulimwengu wa duniani na angani. Na kwa kuupanga ulimwengu wote, yaani uumbaji wote, kwa tafsili ya ukamilifu inayo kusanya kila kitu, ndio inaweka wazi, Utawala wa Mwenyezi Mungu, Subhanahu juu ya ulimwengu kwa jumla na kwa tafsili. -Uliza khabari zake kwa ajuaye-. Katika kifungu hichi cha Aya hii tukufu pana uwongozi wa kisayansi kutokana na Mwenyezi Mungu kuonyesha dharura ya uchunguzi na utafiti wa mambo yanayo onekana ya uumbaji na mipango yake tuyaangalie ya ndani, ili tujue siri za uweza wa Mwenyezi Mungu katika kuanzisha huu ulimwengu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 59 from Furqan


Ayats from Quran in Swahili


Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Furqan with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Furqan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Furqan Complete with high quality
Surah Furqan Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Furqan Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Furqan Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Furqan Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Furqan Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Furqan Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Furqan Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Furqan Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Furqan Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Furqan Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Furqan Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Furqan Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Furqan Al Hosary
Al Hosary
Surah Furqan Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Furqan Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, May 19, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب