Surah Al Hashr aya 21 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Hashr aya 21 in arabic text(The Mustering).
  
   

﴿لَوْ أَنزَلْنَا هَٰذَا الْقُرْآنَ عَلَىٰ جَبَلٍ لَّرَأَيْتَهُ خَاشِعًا مُّتَصَدِّعًا مِّنْ خَشْيَةِ اللَّهِ ۚ وَتِلْكَ الْأَمْثَالُ نَضْرِبُهَا لِلنَّاسِ لَعَلَّهُمْ يَتَفَكَّرُونَ
[ الحشر: 21]

Lau kuwa tumeiteremsha hii Qur'ani juu ya mlima, basi bila ya shaka ungeli uona ukinyenyekea, ukipasuka kwa khofu ya Mwenyezi Mungu. Na hiyo mifano tunawapigia watu ili wafikiri.

Surah Al-Hashr in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


If We had sent down this Qur'an upon a mountain, you would have seen it humbled and coming apart from fear of Allah. And these examples We present to the people that perhaps they will give thought.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Lau kuwa tumeiteremsha hii Qurani juu ya mlima, basi bila ya shaka ungeli uona ukinyenyekea, ukipasuka kwa khofu ya Mwenyezi Mungu. Na hiyo mifano tunawapigia watu ili wafikiri.


Lau tungeli iteremsha hii Qurani juu ya mlima wenye nguvu basi ungeli uona huo mlima, juu ya nguvu zake, unanyenyekea na unapasuka kwa kumwogopa Mwenyezi Mungu. Na hiyo ni mifano tunawaelezea watu ili wapate kuzingatia matokeo ya mambo yao.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 21 from Al Hashr


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na wakasema: Kuweni Mayahudi au Wakristo ndio mtaongoka. Sema: Bali tunashika mila ya Ibrahim mwongofu,
  2. Sema: Mwaonaje, Mwenyezi Mungu angeli ufanya usiku umekukalieni moja kwa moja mpaka Siku ya Kiyama,
  3. Basi wewe yatangaze uliyo amrishwa, na jitenge na washirikina.
  4. Ni vyake viliomo mbinguni, na viliomo katika ardhi. Na Yeye ndiye Mtukufu, Mkuu.
  5. Hakika wanao wasingizia wanawake, wanao jihishimu, walio ghafilika, Waumini, wamelaaniwa duniani na Akhera, nao watapata
  6. Na wale wanao waomba wasio kuwa Mwenyezi Mungu hawaumbi kitu, bali wao wameumbwa.
  7. Je, hawakuifikiri kauli, au yamewajia yasiyo wafikia baba zao wa zamani?
  8. Na kila mmoja anao upande anao elekea. Basi shindanieni mema. Popote mlipo Mwenyezi Mungu atakuleteni
  9. Hakika tumefunuliwa sisi kwamba hapana shaka adhabu itamsibu anaye kadhibisha na akapuuza.
  10. Na watu wa kushotoni; je ni yepi ya wa kushotoni?

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Al Hashr with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Al Hashr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Hashr Complete with high quality
Surah Al Hashr Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Al Hashr Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Al Hashr Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Al Hashr Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Al Hashr Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Al Hashr Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Al Hashr Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Al Hashr Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Al Hashr Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Al Hashr Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Al Hashr Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Al Hashr Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Al Hashr Al Hosary
Al Hosary
Surah Al Hashr Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Al Hashr Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, July 16, 2024

Please remember us in your sincere prayers