Surah Insan aya 14 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَدَانِيَةً عَلَيْهِمْ ظِلَالُهَا وَذُلِّلَتْ قُطُوفُهَا تَذْلِيلًا﴾
[ الإنسان: 14]
Na vivuli vyake vitakuwa karibu yao, na mashada ya matunda yataning'inia mpaka chini.
Surah Al-Insan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And near above them are its shades, and its [fruit] to be picked will be lowered in compliance.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na vivuli vyake vitakuwa karibu yao, na mashada ya matunda yataninginia mpaka chini.
Na Pepo ambayo vivuli vya miti yake vimeenea kote kote, na matunda yake mepesi kuyachuma.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Bila ya shaka angeli kaa ndani yake mpaka siku ya kufufuliwa.
- Naam! Na hakika mtakuwa katika watu wa mbele.
- Hao makao yao ni Jahannamu, na wala hawapati makimbilio kutoka humo.
- Je, hawatazami ufalme wa mbingu na ardhi, na vitu alivyo viumba Mwenyezi Mungu, na pengine
- Na wanapo sikia upuuzi hujitenga nao na husema: Sisi tuna vitendo vyetu, na nyinyi mna
- Na waonye siku inayo kurubia, wakati nyoyo zitakapo fika kooni, nao wamejaa huzuni. Madhaalimu hawatakuwa
- Akasema: Hebu nini amri yenu, enyi wajumbe?
- Na kwa wenye kukataza mabaya.
- Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na chemchem.
- Na wapigie mfano wa wakaazi wa mji walipo wafikia walio tumwa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Insan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Insan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Insan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



