Surah Maarij aya 25 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Maarij aya 25 in arabic text(The Ways of Ascent).
  
   

﴿لِّلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ﴾
[ المعارج: 25]

Kwa mwenye kuomba na anaye jizuilia kuomba;

Surah Al-Maarij in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


For the petitioner and the deprived -


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Kwa mwenye kuomba na anaye jizuilia kuomba;


iliyo wekwa kwa ajili ya masikini mwenye kuomba kutaka msaada, na anaye jizuilia kuomba pia. (Katika wanao zuilika kuomba wanaingia si wenye kustahi na kuona vibaya tu, bali pia wasio weza kuomba kama watoto wachanga, wagonjwa, na wanyama pia.)

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 25 from Maarij


Ayats from Quran in Swahili

  1. Pale mlipo kuwa mkikimbia mbio wala hamumsikilizi yeyote, na Mtume anakuiteni, yuko nyuma yenu. Mwenyezi
  2. Sisi hatuwateremshi Malaika ila kwa sababu ya haki, na hapo hawatapewa muhula.
  3. Je, hawajui ya kwamba anaye shindana na Mwenyezi Mungu na Mtume wake, basi huyo atapata
  4. Akaambiwa: Liingie behewa la hili jumba. Alipo liona alidhani ni maji, na akapandisha nguo mpaka
  5. Na alikuwa akiwaamrisha watu wake Sala na Zaka, na alikuwa mbele ya Mola wake Mlezi
  6. Wanakuhimiza waletewe adhabu kwa haraka, na hali Jahannamu kwa hakika imewazunguka makafiri!
  7. Watayapata humo wayatakayo daima dawamu. Hii ni ahadi juu ya Mola wako Mlezi, inayo ombwa.
  8. Ndipo mkewe akawaelekea, na huku anasema na akijipiga usoni kwa mastaajabu, na kusema: Mimi ni
  9. Kisha akaigeukia kuipiga kwa mkono wa kulia.
  10. Basi akawateka kwa khadaa. Walipo uonja ule mti, tupu zao zilifichuka na wakaingia kujibandika majani

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Maarij with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Maarij mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maarij Complete with high quality
Surah Maarij Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Maarij Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Maarij Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Maarij Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Maarij Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Maarij Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Maarij Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Maarij Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Maarij Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Maarij Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Maarij Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Maarij Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Maarij Al Hosary
Al Hosary
Surah Maarij Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Maarij Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, November 13, 2025

Please remember us in your sincere prayers