Surah Qasas aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿نَتْلُو عَلَيْكَ مِن نَّبَإِ مُوسَىٰ وَفِرْعَوْنَ بِالْحَقِّ لِقَوْمٍ يُؤْمِنُونَ﴾
[ القصص: 3]
Tunakusomea khabari za Musa na Firauni kwa Haki kwa ajili ya watu wanao amini.
Surah Al-Qasas in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
We recite to you from the news of Moses and Pharaoh in truth for a people who believe.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Tunakusomea khabari za Musa na Firauni kwa Haki kwa ajili ya watu wanao amini.
Tunakusimulia baadhi ya khabari za Musa na Firauni kwa ukweli, ili wapate kuzizingatia Waumini.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kwani! Hakika mtu bila ya shaka huwa jeuri
- Na hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye fadhila kwa watu, lakini wengi wao hawashukuru.
- Na walisema walio kufuru: Hatutaiamini Qur'ani hii, wala yaliyo kuwa kabla yake. Na ungeli waona
- Wanatimiza ahadi, na wanaiogopa siku ambayo shari yake inaenea sana,
- Yeye ndiye aliye mpeleka Mtume kwenye watu wasio jua kusoma, awasomee Aya zake na awatakase,
- Nendeni kwenye kivuli chenye mapande matatu!
- Wala hawakufarikiana walio pewa Kitabu ila baada ya kuwajia hiyo bayana.
- Na hakika laana yangu itakuwa juu yako mpaka Siku ya Malipo.
- Na Mitume walio kabla yako walikwisha dhihakiwa. Kwa hivyo wale walio wafanyia maskhara yaliwafika yale
- Kila mtu miongoni mwao siku hiyo atakuwa na lake la kumtosha.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qasas with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qasas mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qasas Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers