Surah Qasas aya 3 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿نَتْلُو عَلَيْكَ مِن نَّبَإِ مُوسَىٰ وَفِرْعَوْنَ بِالْحَقِّ لِقَوْمٍ يُؤْمِنُونَ﴾
[ القصص: 3]
Tunakusomea khabari za Musa na Firauni kwa Haki kwa ajili ya watu wanao amini.
Surah Al-Qasas in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
We recite to you from the news of Moses and Pharaoh in truth for a people who believe.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Tunakusomea khabari za Musa na Firauni kwa Haki kwa ajili ya watu wanao amini.
Tunakusimulia baadhi ya khabari za Musa na Firauni kwa ukweli, ili wapate kuzizingatia Waumini.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Humo watataka kila aina ya matunda, na wakae kwa amani.
- Je! Makafiri wenu ni bora kuliko hao, au yameandikwa vitabuni kuwa nyinyi hamtiwi makosani?
- Kisha kula katika kila matunda, na upite katika njia za Mola wako Mlezi zilizo fanywa
- Na kwa hakika utukufu wa Mola wetu Mlezi umetukuka kabisa; hana mke wala mwana.
- Ili mumuamini Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na mumsaidie, na mumhishimu, na mumtakase asubuhi na
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Na Mola wako Mlezi ameamrisha kuwa msimuabudu yeyote ila Yeye tu, na wazazi wawili muwatendee
- Basi nawamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii,
- Au nani yule anaye mjibu mwenye shida pale anapo mwomba, na akaiondoa dhiki, na akakufanyeni
- Wanamshukia kila mzushi mkubwa mwingi wa dhambi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qasas with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qasas mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qasas Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers