Surah Najm aya 26 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Najm aya 26 in arabic text(The Star).
  
   

﴿۞ وَكَم مِّن مَّلَكٍ فِي السَّمَاوَاتِ لَا تُغْنِي شَفَاعَتُهُمْ شَيْئًا إِلَّا مِن بَعْدِ أَن يَأْذَنَ اللَّهُ لِمَن يَشَاءُ وَيَرْضَىٰ﴾
[ النجم: 26]

Na wako Malaika wangapi mbinguni, ambao uombezi wao hautafaa chochote isipo kuwa baada ya Mwenyezi Mungu kutoa idhini kwa amtakaye na kumridhia.

Surah An-Najm in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And how many angels there are in the heavens whose intercession will not avail at all except [only] after Allah has permitted [it] to whom He wills and approves.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na wako Malaika wangapi mbinguni, ambao uombezi wao hautafaa chochote isipo kuwa baada ya Mwenyezi Mungu kutoa idhini kwa amtakaye na kumridhia.


Na malaika wengi wa mbinguni, juu ya ubora wa vyeo vyao, haufai kitu uombezi wao isipo kuwa baada ya kupewa idhini huyo mwombezi na Mwenyewe Mtukufu, na kumridhia huyo mwenye kuombewa.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 26 from Najm


Ayats from Quran in Swahili

  1. Wale wanao wabeuwa Waumini wanao toa sadaka nyingi na wasio nacho cha kutoa ila kadri
  2. Sisi tunajua kabisa wayasemayo. Wala wewe si mwenye kuwatawalia kwa ujabari. Basi mkumbushe kwa Qur'ani
  3. Mwambieni maneno laini, huenda akazingatia au akaogopa.
  4. Na washirikina wanasema: Mwenyezi Mungu angeli taka tusingeli abudu chochote badala yake, sisi wala baba
  5. Humuomba yule ambaye bila ya shaka dhara yake ipo karibu zaidi kuliko nafuu yake. Kwa
  6. Wala wewe huwaombi ujira kwa haya. Hayakuwa haya ila ni mawaidha kwa walimwengu wote.
  7. Na wanapo kutana na walio amini husema: Tumeamini. Na wanapo kuwa peke yao na mashet'ani
  8. Na tulimpa Luqman hikima, tukamwambia: Mshukuru Mwenyezi Mungu. Na mwenye kushukuru basi hakika anashukuru kwa
  9. Na hakika bila ya shaka hichi ni kiapo kikubwa, laiti mngeli jua!
  10. Enyi watu! Kuleni vilivyomo katika ardhi, halali na vizuri, wala msifuate nyayo za Shet'ani. Hakika

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Najm with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Najm mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Najm Complete with high quality
Surah Najm Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Najm Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Najm Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Najm Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Najm Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Najm Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Najm Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Najm Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Najm Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Najm Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Najm Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Najm Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Najm Al Hosary
Al Hosary
Surah Najm Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Najm Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, September 17, 2024

Please remember us in your sincere prayers