Surah Najm aya 26 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Najm aya 26 in arabic text(The Star).
  
   

﴿۞ وَكَم مِّن مَّلَكٍ فِي السَّمَاوَاتِ لَا تُغْنِي شَفَاعَتُهُمْ شَيْئًا إِلَّا مِن بَعْدِ أَن يَأْذَنَ اللَّهُ لِمَن يَشَاءُ وَيَرْضَىٰ﴾
[ النجم: 26]

Na wako Malaika wangapi mbinguni, ambao uombezi wao hautafaa chochote isipo kuwa baada ya Mwenyezi Mungu kutoa idhini kwa amtakaye na kumridhia.

Surah An-Najm in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And how many angels there are in the heavens whose intercession will not avail at all except [only] after Allah has permitted [it] to whom He wills and approves.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na wako Malaika wangapi mbinguni, ambao uombezi wao hautafaa chochote isipo kuwa baada ya Mwenyezi Mungu kutoa idhini kwa amtakaye na kumridhia.


Na malaika wengi wa mbinguni, juu ya ubora wa vyeo vyao, haufai kitu uombezi wao isipo kuwa baada ya kupewa idhini huyo mwombezi na Mwenyewe Mtukufu, na kumridhia huyo mwenye kuombewa.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 26 from Najm


Ayats from Quran in Swahili

  1. Huwaoni wale walio pewa sehemu ya Kitabu? Wanaitwa kukiendea Kitabu cha Mwenyezi Mungu ili kiwahukumu
  2. Na haikuwa jawabu ya kaumu yake isipo kuwa kuambizana: Wafukuzeni katika mji wenu, maana hao
  3. Na hakika tumekuwekeni katika ardhi, na tumekujaalieni humo njia za kupatia maisha. Ni kuchache kushukuru
  4. Wala hawataruhusiwa kutoa udhuru.
  5. Mwenyezi Mungu hubadilisha usiku na mchana. Hakika katika hayo yapo mazingatio kwa wenye kuona.
  6. Kwa hakika wale walio kufuru watanadiwa: Bila ya shaka kukuchukieni Mwenyezi Mungu ni kukubwa kuliko
  7. Wakae juu ya viti vya enzi wakiangalia.
  8. Mpeleke kesho pamoja nasi, ale kwa furaha na acheze; na bila ya shaka sisi tutamhifadhi.
  9. Na bila ya shaka wakaazi wa Hijr waliwakanusha Mitume.
  10. Siku hiyo watamfuata muitaji asiye na upotofu. Na sauti zote zitamnyenyekea Arrahmani Mwingi wa Rahema.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Najm with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Najm mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Najm Complete with high quality
Surah Najm Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Najm Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Najm Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Najm Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Najm Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Najm Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Najm Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Najm Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Najm Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Najm Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Najm Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Najm Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Najm Al Hosary
Al Hosary
Surah Najm Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Najm Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, July 12, 2025

Please remember us in your sincere prayers