Surah Nisa aya 151 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أُولَٰئِكَ هُمُ الْكَافِرُونَ حَقًّا ۚ وَأَعْتَدْنَا لِلْكَافِرِينَ عَذَابًا مُّهِينًا﴾
[ النساء: 151]
Hao ndio makafiri kweli. Na tumewaandalia makafiri adhabu ya kudhalilisha.
Surah An-Nisa in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Those are the disbelievers, truly. And We have prepared for the disbelievers a humiliating punishment.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hao ndio makafiri kweli. Na tumewaandalia makafiri adhabu ya kudhalilisha.
Hawa wote ndio walio ungama ukafiri wao ulio wazi. Na Mwenyezi Mungu amekwisha waahidi wao na mifano ya hao adhabu kali yenye kudhalilisha.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na Daud na Suleiman walipo kata hukumu katika kadhiya ya konde walipo lisha humo mbuzi
- Sema: Ni nani anaye kuruzukuni kutoka mbinguni na kwenye ardhi? Sema: Mwenyezi Mungu! Na hakika
- Tumeweka kizuizi mbele yao, na kizuizi nyuma yao, na tumewafunika macho yao; kwa hivyo hawaoni.
- Na watu wake wakamhoji. Akasema: Je, mnanihoji juu ya Mwenyezi Mungu, na hali Yeye ameniongoa?
- Na milima iwe inakwenda kwa mwendo mkubwa.
- Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake; ni uwongofu kwa wachamungu,
- Ni sawa sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawataamini.
- Hakika Sisi tumewaandalia makafiri minyororo na pingu na Moto mkali.
- Na ungeli waona wakosefu wanvyo inamisha vichwa vyao mbele ya Mola wao Mlezi, (wakisema): Mola
- Naapa kwa mbingu na Kinacho kuja usiku!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Nisa with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Nisa mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nisa Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers