Surah Nisa aya 151 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أُولَٰئِكَ هُمُ الْكَافِرُونَ حَقًّا ۚ وَأَعْتَدْنَا لِلْكَافِرِينَ عَذَابًا مُّهِينًا﴾
[ النساء: 151]
Hao ndio makafiri kweli. Na tumewaandalia makafiri adhabu ya kudhalilisha.
Surah An-Nisa in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Those are the disbelievers, truly. And We have prepared for the disbelievers a humiliating punishment.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hao ndio makafiri kweli. Na tumewaandalia makafiri adhabu ya kudhalilisha.
Hawa wote ndio walio ungama ukafiri wao ulio wazi. Na Mwenyezi Mungu amekwisha waahidi wao na mifano ya hao adhabu kali yenye kudhalilisha.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hawataonja humo chochote kibaridi wala kinywaji,
- Na yaliyo machafu yahame!
- Na tukaacha humo Ishara kwa ajili ya wanao iogopa adhabu chungu.
- Kama Mola wako Mlezi alivyo kutoa nyumbani kwako kwa Haki, na hakika kundi moja la
- Na itakapo toa ardhi mizigo yake!
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
- Wala hatafunga yeyote kama kufunga kwake.
- Na mtakapo wapa wanawake t'alaka nao wakamaliza eda yao, basi msiwazuie kuolewa na waume zao
- Au nani yule anaye mjibu mwenye shida pale anapo mwomba, na akaiondoa dhiki, na akakufanyeni
- Na unapo soma Qur'ani tunaweka baina yako na wale wasio iamini Akhera pazia linalo wafunika.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Nisa with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Nisa mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Nisa Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers