Surah Najm aya 25 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَلِلَّهِ الْآخِرَةُ وَالْأُولَىٰ﴾
[ النجم: 25]
Mwenyezi Mungu tu ndiye Mwenye dunia na Akhera.
Surah An-Najm in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Rather, to Allah belongs the Hereafter and the first [life].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Mwenyezi Mungu tu ndiye Mwenye dunia na Akhera.
Kwani mambo yote, ya duniani na Akhera, ni ya Mwenyezi Mungu peke yake.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Yeye ndiye Mwenye funguo za mbingu na ardhi. Humkunjulia riziki amtakaye, na humpimia amtakaye. Hakika
- Wakasema: Tuombee kwa Mola wako atupambanulie nini rangi yake? Akasema: Yeye anasema, kuwa ng'ombe huyo
- Akasema: Hakika ujuzi uko kwa Mwenyezi Mungu. Mimi nakufikishieni niliyo tumwa. Lakini nakuoneni kuwa nyinyi
- Na ambaye ndiye aliye umba katika kila kitu jike na dume, na akakufanyieni marikebu na
- Wale watukufu katika kaumu yake wakasema: Hakika sisi tunakuona wewe umo katika upotofu ulio dhaahiri.
- Wanawapelekea yale wanayo yasikia; na wengi wao ni waongo.
- Wale wanao subiri na wakamtegemea Mola wao Mlezi.
- Na pindi tukitaka kuuteketeza mji huwaamrisha wale wenye starehe na taanusi, lakini wao huendelea kutenda
- Wakasema: Ati tumfuate binaadamu mmoja katika sisi? Basi hivyo sisi tutakuwa katika upotofu na kichaa!
- Ndio kama hivi tuwatendavyo wakosefu!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Najm with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Najm mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Najm Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



