Surah Ghafir aya 28 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ghafir aya 28 in arabic text(The Forgiver (God)).
  
   
ayat 28 from Surah Ghafir

﴿وَقَالَ رَجُلٌ مُّؤْمِنٌ مِّنْ آلِ فِرْعَوْنَ يَكْتُمُ إِيمَانَهُ أَتَقْتُلُونَ رَجُلًا أَن يَقُولَ رَبِّيَ اللَّهُ وَقَدْ جَاءَكُم بِالْبَيِّنَاتِ مِن رَّبِّكُمْ ۖ وَإِن يَكُ كَاذِبًا فَعَلَيْهِ كَذِبُهُ ۖ وَإِن يَكُ صَادِقًا يُصِبْكُم بَعْضُ الَّذِي يَعِدُكُمْ ۖ إِنَّ اللَّهَ لَا يَهْدِي مَنْ هُوَ مُسْرِفٌ كَذَّابٌ
[ غافر: 28]

Na akasema mtu mmoja Muumini, aliye kuwa mmoja katika watu wa Firauni aliye ficha Imani yake: Mtamuuwa mtu kwa sababu anasema Mola wangu Mlezi ni Mwenyezi Mungu? Na hali naye amekujieni na hoja zilizo wazi? Na akiwa yeye mwongo basi uwongo wake ni juu yake mwenyewe, na akiwa mkweli yatakufikieni baadhi ya hayo anayo kuahidini. Hakika Mwenyezi Mungu hamwongoi apindukiaye mipaka, mwongo mkubwa.

Surah Ghafir in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And a believing man from the family of Pharaoh who concealed his faith said, "Do you kill a man [merely] because he says, 'My Lord is Allah' while he has brought you clear proofs from your Lord? And if he should be lying, then upon him is [the consequence of] his lie; but if he should be truthful, there will strike you some of what he promises you. Indeed, Allah does not guide one who is a transgressor and a liar.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na akasema mtu mmoja Muumini, aliye kuwa mmoja katika watu wa Firauni aliye ficha Imani yake: Mtamuuwa mtu kwa sababu anasema Mola wangu Mlezi ni Mwenyezi Mungu? Na hali naye amekujieni na hoja zilizo wazi? Na akiwa yeye mwongo basi uwongo wake ni juu yake mwenyewe, na akiwa mkweli yatakufikieni baadhi ya hayo anayo kuahidini. Hakika Mwenyezi Mungu hamwongoi apindukiaye mipaka, mwongo mkubwa.


English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 28 from Ghafir


Ayats from Quran in Swahili

  1. Isa alipo hisi kuwa kati yao pana ukafiri alisema: Nani wasaidizi wangu kwa Mwenyezi Mungu?
  2. Naye amekwisha kuteremshieni katika Kitabu hiki ya kwamba mnapo sikia Aya za Mwenyezi Mungu zinakanushwa
  3. Na ikiwa ni makubwa kwako huku kukataa kwao, basi kama unaweza kutafuta njia ya chini
  4. Nakufikishieni ujumbe wa Mola wangu Mlezi. Na mimi kwenu ni mwenye kukunasihini, muaminifu.
  5. Na Yeye ndiye aliye kuenezeni katika ardhi, na kwake Yeye mtakusanywa.
  6. Hizi ni Aya za Kitabu kinacho bainisha.
  7. Na alipo kwisha watengenezea mahitaji yao akakitia kikopo cha kunywea maji katika mzigo wa nduguye
  8. Hukuwaona watukufu katika Wana wa Israili baada ya Musa, walipo mwambia Nabii wao: Tuwekee mfalme
  9. Enyi waja wangu mlio amini! Kwa hakika ardhi yangu ina wasaa. Basi niabuduni Mimi peke
  10. Watakuwa wakizunguka baina ya hiyo na maji ya moto yanayo chemka.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ghafir with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ghafir mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ghafir Complete with high quality
Surah Ghafir Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ghafir Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ghafir Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ghafir Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ghafir Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ghafir Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ghafir Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Ghafir Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ghafir Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ghafir Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ghafir Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ghafir Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ghafir Al Hosary
Al Hosary
Surah Ghafir Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ghafir Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, February 1, 2026

Please remember us in your sincere prayers