Surah Ghafir aya 29 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ghafir aya 29 in arabic text(The Forgiver (God)).
  
   
ayat 29 from Surah Ghafir

﴿يَا قَوْمِ لَكُمُ الْمُلْكُ الْيَوْمَ ظَاهِرِينَ فِي الْأَرْضِ فَمَن يَنصُرُنَا مِن بَأْسِ اللَّهِ إِن جَاءَنَا ۚ قَالَ فِرْعَوْنُ مَا أُرِيكُمْ إِلَّا مَا أَرَىٰ وَمَا أَهْدِيكُمْ إِلَّا سَبِيلَ الرَّشَادِ
[ غافر: 29]

Enyi watu wangu! Leo mna ufalme, mmeshinda katika nchi; basi ni nani atakaye nisaidia kutuokoa na adhabu ya Mwenyezi Mungu kama ikitufikia? Firauni akasema: Sikupeni shauri ila ile niliyo iona, wala sikuongozeni ila kwenye njia ya uwongofu.

Surah Ghafir in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


O my people, sovereignty is yours today, [your being] dominant in the land. But who would protect us from the punishment of Allah if it came to us?" Pharaoh said, "I do not show you except what I see, and I do not guide you except to the way of right conduct."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Enyi watu wangu! Leo mna ufalme, mmeshinda katika nchi; basi ni nani atakaye nisaidia kutuokoa na adhabu ya Mwenyezi Mungu kama ikitufikia? Firauni akasema: Sikupeni shauri ila ile niliyo iona, wala sikuongozeni ila kwenye njia ya uwongofu.


English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 29 from Ghafir


Ayats from Quran in Swahili

  1. Basi maneno yao yasikuhuzunishe. Hakika Sisi tunayajua wanayo yaweka siri na wanayo yatangaza.
  2. Na Mola wako Mlezi ni Msamehevu Mwenye rehema. Lau angeli wachukulia kwa mujibu waliyo yachuma,
  3. Na ikiteremka Sura hutazamana wao kwa wao, (kama kwamba wanasema:) Je! Yuko mtu anakuoneni? Kisha
  4. Na walikuja wenye kutoa udhuru katika Mabedui ili wapewe ruhusa, na wakakaa wale walio mwambia
  5. Basi Firauni akawatuma mijini wapiga mbiu za mgambo.
  6. Na Ibrahim alipo sema: Ewe Mola wangu Mlezi! Ujaalie mji huu uwe wa amani, na
  7. Na mkewe alikuwa kasimama wima, akacheka. Basi tukambashiria (kuzaliwa) Is-haq, na baada ya Is-haq Yaaqub.
  8. Bali unastaajabu, na wao wanafanya maskhara.
  9. Kilipo ufunika huo Mkunazi hicho kilicho ufunuika.
  10. Siku tutapo wakusanya wote pamoja, kisha tuwaambie walio shirikisha: Wako wapi washirikishwa wenu mlio kuwa

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ghafir with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ghafir mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ghafir Complete with high quality
Surah Ghafir Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ghafir Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ghafir Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ghafir Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ghafir Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ghafir Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ghafir Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Ghafir Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ghafir Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ghafir Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ghafir Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ghafir Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ghafir Al Hosary
Al Hosary
Surah Ghafir Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ghafir Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, July 14, 2026

Please remember us in your sincere prayers