Surah zariyat aya 53 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah zariyat aya 53 in arabic text(The Wind That Scatter).
  
   

﴿أَتَوَاصَوْا بِهِ ۚ بَلْ هُمْ قَوْمٌ طَاغُونَ
[ الذاريات: 53]

Je! Wameambizana kwa haya? Bali hawa ni watu waasi.

Surah Adh-Dhariyat in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Did they suggest it to them? Rather, they [themselves] are a transgressing people.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Je! Wameambizana kwa haya? Bali hawa ni watu waasi.


Je! Mmeusiana, mmeambizana, nyinyi kwa nyinyi kusema hivyo ndio maana mnalirejea hilo kwa hilo? Bali hao ni watu walio pindukia mipaka, ndio wakawafikiana katika kuwashutumu Mitume!

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 53 from zariyat


Ayats from Quran in Swahili

  1. Sivyo hivyo! Lau mngeli jua kwa ujuzi wa yakini,
  2. Alipo simama mwovu wao mkubwa,
  3. Na kitawekwa kitabu. Basi utawaona wakosefu wanavyo ogopa kwa yale yaliomo humo. Na watasema: Ole
  4. Na ukinyanyua sauti kwa kusema... basi hakika Yeye anajua siri na duni kuliko siri.
  5. Mola Mlezi wa mashariki na magharibi, hapana mungu isipo kuwa Yeye, basi mfanye kuwa Mtegemewa
  6. Basi mfalme akasema: Mleteni kwangu, awe wangu mwenyewe khasa. Basi alipo msemeza alinena: Hakika wewe
  7. Wote hao tunawakunjulia - hawa na hao - katika neema za Mola wako Mlezi. Wala
  8. Hakika Mwenyezi Mungu amekunusuruni katika mapigano mengi, na siku ya Hunayni ambapo wingi wenu ulikupandisheni
  9. Wakikukanusha basi wewe sema: Mola Mlezi wenu ni Mwenye rehema iliyo enea. Wala haizuiliki adhabu
  10. Kama Mola wako Mlezi alivyo kutoa nyumbani kwako kwa Haki, na hakika kundi moja la

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah zariyat with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah zariyat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter zariyat Complete with high quality
Surah zariyat Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah zariyat Bandar Balila
Bandar Balila
Surah zariyat Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah zariyat Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah zariyat Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah zariyat Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah zariyat Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah zariyat Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah zariyat Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah zariyat Fares Abbad
Fares Abbad
Surah zariyat Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah zariyat Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah zariyat Al Hosary
Al Hosary
Surah zariyat Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah zariyat Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, August 4, 2025

Please remember us in your sincere prayers