Surah Yusuf aya 36 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Yusuf aya 36 in arabic text(Joseph).
  
   
ayat 36 from Surah Yusuf

﴿وَدَخَلَ مَعَهُ السِّجْنَ فَتَيَانِ ۖ قَالَ أَحَدُهُمَا إِنِّي أَرَانِي أَعْصِرُ خَمْرًا ۖ وَقَالَ الْآخَرُ إِنِّي أَرَانِي أَحْمِلُ فَوْقَ رَأْسِي خُبْزًا تَأْكُلُ الطَّيْرُ مِنْهُ ۖ نَبِّئْنَا بِتَأْوِيلِهِ ۖ إِنَّا نَرَاكَ مِنَ الْمُحْسِنِينَ
[ يوسف: 36]

Wakaingia gerezani pamoja naye vijana wawili. Mmoja wao akasema: Hakika mimi nimeota nakamua mvinyo. Na mwingine akasema: Mimi nimeota nimebeba mikate juu ya kichwa changu, na ndege wanaila. Hebu tuambie tafsiri yake, kwani sisi tunakuona wewe ni katika watu wema.

Surah Yusuf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And there entered the prison with him two young men. One of them said, "Indeed, I have seen myself [in a dream] pressing wine." The other said, "Indeed, I have seen myself carrying upon my head [some] bread, from which the birds were eating. Inform us of its interpretation; indeed, we see you to be of those who do good."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Wakaingia gerezani pamoja naye vijana wawili. Mmoja wao akasema: Hakika mimi nimeota nakamua mvinyo. Na mwingine akasema: Mimi nimeota nimebeba mikate juu ya kichwa changu, na ndege wanaila. Hebu tuambie tafsiri yake, kwani sisi tunakuona wewe ni katika watu wema.


Wakaingia pamoja na Yusuf vijana wawili katika watumishi wa Mfalme. Mmoja wao akasema: Mimi nimeota usingizini kuwa ninakamua zabibu kutengeneza mvinyo. Mwingine akasema: Mimi nimeota nimebeba kichwani mwangu mikate, na ndege wanaila! Hebu tuambie, ewe Yusuf, tafsiri ya haya tuliyo ota, na mambo yetu yataishia vipi. Sisi tunaamini kuwa wewe ni katika watu wanao sifika kwa wema na kujua tafsiri za ndoto.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 36 from Yusuf


Ayats from Quran in Swahili

  1. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
  2. Na alisema: Hakika nyinyi mmeyashika masanamu badala ya Mwenyezi Mungu kwa mapenzi yaliyo baina yenu
  3. Basi walipo ihisi adhabu yetu, mara wakaanza kukimbia.
  4. Na Mtume alikuwa akisema: Ee Mola wangu Mlezi! Hakika watu wangu wameifanya hii Qur'ani ni
  5. Na tungeli penda tungeli yafutilia mbali macho yao, wakawa wanaiwania njia. Lakini wange ionaje?
  6. Na wakikukanusha basi walikanushwa Mitume wengine kabla yako walio kuja na hoja waziwazi na Vitabu
  7. Na walio kufuru wanasema: Wewe hukutumwa. Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi baina yangu na
  8. Wanapo kujia wanaafiki husema: Tunashuhudia ya kuwa wewe ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi
  9. Na wasio mwitikia Mwitaji wa Mwenyezi Mungu basi hao hawatashinda katika ardhi, wala hawatakuwa na
  10. Na hakika tulikwisha wapigia watu kila mfano katika hii Qur'ani. Na ukiwaletea Ishara yoyote hapana

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Yusuf with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Yusuf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yusuf Complete with high quality
Surah Yusuf Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Yusuf Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Yusuf Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Yusuf Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Yusuf Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Yusuf Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Yusuf Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Yusuf Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Yusuf Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Yusuf Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Yusuf Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Yusuf Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Yusuf Al Hosary
Al Hosary
Surah Yusuf Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Yusuf Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, August 1, 2025

Please remember us in your sincere prayers