Surah Talaq aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Talaq aya 4 in arabic text(Divorce).
  
   

﴿وَاللَّائِي يَئِسْنَ مِنَ الْمَحِيضِ مِن نِّسَائِكُمْ إِنِ ارْتَبْتُمْ فَعِدَّتُهُنَّ ثَلَاثَةُ أَشْهُرٍ وَاللَّائِي لَمْ يَحِضْنَ ۚ وَأُولَاتُ الْأَحْمَالِ أَجَلُهُنَّ أَن يَضَعْنَ حَمْلَهُنَّ ۚ وَمَن يَتَّقِ اللَّهَ يَجْعَل لَّهُ مِنْ أَمْرِهِ يُسْرًا
[ الطلاق: 4]

Na wale walio sita hedhi miongoni mwa wanawake wenu, ikiwa mnayo shaka, basi muda wa eda yao ni miezi mitatu, pamoja na ambao hawapati hedhi. Na wenye mimba eda yao mpaka watakapo zaa. Na anaye mcha Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu humfanyia mambo yake kuwa mepesi.

Surah At-Talaq in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And those who no longer expect menstruation among your women - if you doubt, then their period is three months, and [also for] those who have not menstruated. And for those who are pregnant, their term is until they give birth. And whoever fears Allah - He will make for him of his matter ease.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na wale walio sita hedhi miongoni mwa wanawake wenu, ikiwa mnayo shaka, basi muda wa eda yao ni miezi mitatu, pamoja na ambao hawapati hedhi. Na wenye mimba eda yao mpaka watakapo zaa. Na anaye mcha Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu humfanyia mambo yake kuwa mepesi.


Na wenye eda ya talaka miongoni mwa wanawake walio sita kuingia myezini kwa utu uzima, kama hawajui wahisabu vipi eda yao, basi eda yao ni miezi mitatu. Na wale ambao hawaingii hedhi kabisa ni kadhaalika. Na wenye mimba, eda yao inakwisha wanapo jifungua. Na mwenye kumcha Mwenyezi Mungu, na akazitimiza hukumu zake Mwenyezi Mungu atamsahilishia mambo yake.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 4 from Talaq


Ayats from Quran in Swahili


Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Talaq with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Talaq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Talaq Complete with high quality
Surah Talaq Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Talaq Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Talaq Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Talaq Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Talaq Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Talaq Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Talaq Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Talaq Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Talaq Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Talaq Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Talaq Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Talaq Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Talaq Al Hosary
Al Hosary
Surah Talaq Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Talaq Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, May 10, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب