Surah Talaq aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Talaq aya 4 in arabic text(Divorce).
  
   

﴿وَاللَّائِي يَئِسْنَ مِنَ الْمَحِيضِ مِن نِّسَائِكُمْ إِنِ ارْتَبْتُمْ فَعِدَّتُهُنَّ ثَلَاثَةُ أَشْهُرٍ وَاللَّائِي لَمْ يَحِضْنَ ۚ وَأُولَاتُ الْأَحْمَالِ أَجَلُهُنَّ أَن يَضَعْنَ حَمْلَهُنَّ ۚ وَمَن يَتَّقِ اللَّهَ يَجْعَل لَّهُ مِنْ أَمْرِهِ يُسْرًا
[ الطلاق: 4]

Na wale walio sita hedhi miongoni mwa wanawake wenu, ikiwa mnayo shaka, basi muda wa eda yao ni miezi mitatu, pamoja na ambao hawapati hedhi. Na wenye mimba eda yao mpaka watakapo zaa. Na anaye mcha Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu humfanyia mambo yake kuwa mepesi.

Surah At-Talaq in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And those who no longer expect menstruation among your women - if you doubt, then their period is three months, and [also for] those who have not menstruated. And for those who are pregnant, their term is until they give birth. And whoever fears Allah - He will make for him of his matter ease.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na wale walio sita hedhi miongoni mwa wanawake wenu, ikiwa mnayo shaka, basi muda wa eda yao ni miezi mitatu, pamoja na ambao hawapati hedhi. Na wenye mimba eda yao mpaka watakapo zaa. Na anaye mcha Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu humfanyia mambo yake kuwa mepesi.


Na wenye eda ya talaka miongoni mwa wanawake walio sita kuingia myezini kwa utu uzima, kama hawajui wahisabu vipi eda yao, basi eda yao ni miezi mitatu. Na wale ambao hawaingii hedhi kabisa ni kadhaalika. Na wenye mimba, eda yao inakwisha wanapo jifungua. Na mwenye kumcha Mwenyezi Mungu, na akazitimiza hukumu zake Mwenyezi Mungu atamsahilishia mambo yake.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 4 from Talaq


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Talaq with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Talaq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Talaq Complete with high quality
    Surah Talaq Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Talaq Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Talaq Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Talaq Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Talaq Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Talaq Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Talaq Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Talaq Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Talaq Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Talaq Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Talaq Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Talaq Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Talaq Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Talaq Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Talaq Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Tuesday, April 8, 2025

    Please remember us in your sincere prayers