Surah Assaaffat aya 67 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿ثُمَّ إِنَّ لَهُمْ عَلَيْهَا لَشَوْبًا مِّنْ حَمِيمٍ﴾
[ الصافات: 67]
Kisha juu yake wanyweshwe mchanganyo wa maji yamoto yaliyo chemka.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then indeed, they will have after it a mixture of scalding water.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kisha juu yake wanyweshwe mchanganyo wa maji yamoto yaliyo chemka.
Kisha washirikina hao juu ya kula mti wa Zaqqum watapewa maji yaliyo changanywa, yamoto, ya kuwababua nyuso zao, na kukatakata matumbo yao.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na hatukumtuma mwonyaji yeyote kwenye mji, ila walisema walio jidekeza kwa starehe zao wa mji
- Basi warudisheni baba zetu, ikiwa nyinyi mnasema kweli.
- Au ni nani huyo ambaye atakupeni riziki kama Yeye akizuia riziki yake? Bali wao wanakakamia
- Na lau kuwa Haki ingeli fuata matamanio yao, basi zingeli haribika mbingu na ardhi na
- Au wamepata miungu katika ardhi inayo fufua?
- Kesho watajua ni nani huyo mwongo mwenye kiburi.
- Basi wote wawili walipo jisalimisha, na akamlaza juu ya kipaji.
- Hakika walio amini na wakatenda mema watapata Bustani zenye mito ipitayo kati yake. Huko ndiko
- Huwakuti watu wanao muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho kuwa wanawapenda wanao mpinga Mwenyezi
- Arrahmani, Mwingi wa Rehema, aliye tawala juu ya Kiti cha Enzi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers