Surah Assaaffat aya 67 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿ثُمَّ إِنَّ لَهُمْ عَلَيْهَا لَشَوْبًا مِّنْ حَمِيمٍ﴾
[ الصافات: 67]
Kisha juu yake wanyweshwe mchanganyo wa maji yamoto yaliyo chemka.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then indeed, they will have after it a mixture of scalding water.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kisha juu yake wanyweshwe mchanganyo wa maji yamoto yaliyo chemka.
Kisha washirikina hao juu ya kula mti wa Zaqqum watapewa maji yaliyo changanywa, yamoto, ya kuwababua nyuso zao, na kukatakata matumbo yao.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ati aliye Muumini atakuwa sawa na aliye mpotovu? Hawawi sawa.
- Hakika Sisi tumewaandalia makafiri minyororo na pingu na Moto mkali.
- Basi akamwomba Mola wake Mlezi akasema: Kwa hakika mimi nimeshindwa, basi ninusuru!
- Ati anaye umba ni kama asiye umba? Basi hebu, hamkumbuki?
- Na wapo miongoni mwao wanao kusikiliza, mpaka wakiondoka kwako huwauliza walio pewa ilimu: Amesema nini
- Ole wao siku hiyo hao walio kanusha!
- Walio kufuru na wakazuilia njia ya Mwenyezi Mungu, Yeye atavipotoa vitendo vyao.
- Hata alipo fika matokeo ya jua aliliona linawachomozea watu tusio wawekea pazia la kuwakinga nalo.
- Mola Mlezi wa mbingu na ardhi na vilio baina yao, Arrahman, Mwingi wa rehema; hawamiliki
- Na unapo waona, miili yao inakupendeza, na wakisema, unasikiliza usemi wao. Lakini wao ni kama
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب