Surah Hijr aya 59 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِلَّا آلَ لُوطٍ إِنَّا لَمُنَجُّوهُمْ أَجْمَعِينَ﴾
[ الحجر: 59]
Isipo kuwa walio mfuata Luut'i. Bila ya shaka sisi tutawaokoa hao wote.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Except the family of Lot; indeed, we will save them all
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Isipo kuwa walio mfuata Luuti. Bila ya shaka sisi tutawaokoa hao wote.
Wala hakusalimika na huo ukhalifu na adhabu yake ila ahli zake yeye Luuti. Basi hao Mwenyezi Mungu Mtukufu ametuamrisha tuwaokoe wote.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na enyi watu wangu! Fanyeni mwezayo, na mimi pia ninafanya. Karibuni mtajua ni nani itakaye
- Na akautoa mkono wake, na mara ukawa mweupe kwa watazamao.
- Wewe tu tunakuabudu, na Wewe tu tunakuomba msaada.
- Alikunja kipaji na akageuka,
- Nanyi mmeghafilika?
- Na lau kuwa tungeli iteremsha juu ya mmoja wa wasio kuwa Waarabu,
- Na walisema walio kufuru: Hatutaiamini Qur'ani hii, wala yaliyo kuwa kabla yake. Na ungeli waona
- Hili ni Tangazo liwafikie watu, liwaonye, na wapate kujua kuwa hakika Yeye ni Mungu Mmoja,
- Basi atachungulia amwone katikati ya Jahannamu.
- Naye ndiye Mwenye nguvu za kushinda, aliye juu ya waja wake. Na hukupelekeeni waangalizi, mpaka
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



