Surah Kahf aya 69 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالَ سَتَجِدُنِي إِن شَاءَ اللَّهُ صَابِرًا وَلَا أَعْصِي لَكَ أَمْرًا﴾
[ الكهف: 69]
Akasema: Inshaallah, Mwenyezi Mungu akipenda, utaniona mvumilivu, wala sitoasi amri yako.
Surah Al-Kahf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[Moses] said, "You will find me, if Allah wills, patient, and I will not disobey you in [any] order."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Akasema: Inshaallah, Mwenyezi Mungu akipenda, utaniona mvumilivu, wala sitoasi amri yako.
Musa akasema: Inshallah, Mwenyezi Mungu akipenda, utaniona mimi ni mwenye kusubiri, na mtiifu kwako kwa yote utayo niamrisha.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Anaye kadhibisha na kupa mgongo.
- Na hatukuwateremshia kaumu yake baada yake jeshi kutoka mbinguni, wala si wenye kuteremsha.
- Siku ambayo hila zao hazitawafaa hata kidogo, wala wao hawatanusuriwa.
- Na sifa zote njema ni zake katika mbingu na ardhi, na alasiri na adhuhuri.
- Mwenyezi Mungu amewaahidi wale walio amini miongoni mwenu na wakatenda mema, ya kwamba atawafanya makhalifa
- Na wakipuuza, basi Sisi hatukukupeleka ili uwe mwangalizi wao. Si juu yako ila kufikisha Ujumbe
- Lakini Mola wake Mlezi alimteua na akamfanya miongoni mwa watu wema.
- Na mamaye na babaye,
- Kisha tukaotesha humo nafaka,
- Wala hawataruhusiwa kutoa udhuru.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Kahf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Kahf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Kahf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



