Surah Hijr aya 58 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالُوا إِنَّا أُرْسِلْنَا إِلَىٰ قَوْمٍ مُّجْرِمِينَ﴾
[ الحجر: 58]
Wakasema: Hakika sisi tumetumwa kwa kaumu ya wakosefu!
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
They said, "Indeed, we have been sent to a people of criminals,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wakasema: Hakika sisi tumetumwa kwa kaumu ya wakosefu!
Wakasema hakika sisi tumetumwa na Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa watu walio fanya ukhalifu katika Haki ya Mwenyezi Mungu na haki ya Nabii wao, na haki ya nafsi zao wenyewe. Ukhalifu ndio mtindo wao. Watu wenyewe ni kaumu ya Luuti. Basi tutawateketeza.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hakika hao hawakuwa wakitaraji kuwa kuna hisabu.
- Yeye ndiye aliye kuumbeni katika nafsi moja; na katika hiyo hiyo akamfanya mwenzi wake, ili
- Lakini aliye dhulumu, kisha akabadilisha wema baada ya ubaya, basi Mimi ni Mwenye kusamehe Mwenye
- Zipo nyuso siku hiyo zitao ng'ara,
- Ile khabari kuu,
- Hivi ndivyo itakavyo kuwa, na tutawaoza mahurilaini.
- Hakika huku bila ya shaka ndiko kufuzu kukubwa.
- Uteremsho huu umetoka kwa Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.
- Na akitoroka yeyote katika wake zenu kwenda kwa makafiri, tena ikatokea mkapata ngawira, basi wapeni
- Ndipo mkewe akawaelekea, na huku anasema na akijipiga usoni kwa mastaajabu, na kusema: Mimi ni
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers