Surah Al Hashr aya 6 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Hashr aya 6 in arabic text(The Mustering).
  
   

﴿وَمَا أَفَاءَ اللَّهُ عَلَىٰ رَسُولِهِ مِنْهُمْ فَمَا أَوْجَفْتُمْ عَلَيْهِ مِنْ خَيْلٍ وَلَا رِكَابٍ وَلَٰكِنَّ اللَّهَ يُسَلِّطُ رُسُلَهُ عَلَىٰ مَن يَشَاءُ ۚ وَاللَّهُ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ
[ الحشر: 6]

Na mali aliyo leta Mwenyezi Mungu kwa Mtume wake kutoka kwao hamkuyakimbilia mbio kwa farasi wala ngamia. Lakini Mwenyezi Mungu huwapa mamlaka Mitume wake juu ya wowote awatakao. Na Mwenyezi Mungu ni Muweza juu ya kila kitu.

Surah Al-Hashr in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And what Allah restored [of property] to His Messenger from them - you did not spur for it [in an expedition] any horses or camels, but Allah gives His messengers power over whom He wills, and Allah is over all things competent.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na mali aliyo leta Mwenyezi Mungu kwa Mtume wake kutoka kwao hamkuyakimbilia mbio kwa farasi wala ngamia. Lakini Mwenyezi Mungu huwapa mamlaka Mitume wake juu ya wowote awatakao. Na Mwenyezi Mungu ni Muweza juu ya kila kitu.


Na aliyo yaleta Mwenyezi Mungu na akayarudisha kwa Mtume wake katika mali ya Banu Nnadhir hamkuyapigia mbio nyinyi kwa farasi wala ngamia. Lakini Mwenyezi Mungu huwapa madaraka Mitume wake kwa awatakao katika waja wake bila ya kupigana vita. Na Mwenyezi Mungu ni Mtimilivu wa uweza juu ya kila kitu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 6 from Al Hashr


Ayats from Quran in Swahili


Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Al Hashr with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Al Hashr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Hashr Complete with high quality
Surah Al Hashr Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Al Hashr Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Al Hashr Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Al Hashr Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Al Hashr Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Al Hashr Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Al Hashr Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Al Hashr Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Al Hashr Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Al Hashr Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Al Hashr Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Al Hashr Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Al Hashr Al Hosary
Al Hosary
Surah Al Hashr Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Al Hashr Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, May 12, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب