Surah Assaaffat aya 21 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿هَٰذَا يَوْمُ الْفَصْلِ الَّذِي كُنتُم بِهِ تُكَذِّبُونَ﴾
[ الصافات: 21]
Hii ndiyo Siku ya Hukumu mliyo kuwa mkiikadhibisha.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[They will be told], "This is the Day of Judgement which you used to deny."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hii ndiyo Siku ya Hukumu mliyo kuwa mkiikadhibisha.
Watajibiwa: Hii ndiyo Siku ya Hukumu na kufarikisha vitendo, mliyo kuwa mkiikadhibisha.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Tumeweka makongwa shingoni mwao, yakawafika videvuni. Kwa hivyo vichwa vyao viko juu tu.
- Wala hawakusema: Mungu akipenda!
- Wakasema: Ewe Shua'ibu! Mengi katika hayo unayo yasema hatuyafahamu. Na sisi tunakuona huna nguvu kwetu.
- Enyi watu wangu! Ingieni katika nchi takatifu ambayo Mwenyezi Mungu amekuandikieni. Wala msirudi nyuma, msije
- Basi walikwenda na huku wakinong'onezana,
- Na mwenyewe akajua kwa hakika kuwa huko ndiko kufariki;
- Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio safishwa.
- Basi alipo mzaa alisema: Mola wangu Mlezi! Nimemzaa mwanamke - na Mwenyezi Mungu anajua sana
- Na kama ingeli kuwako Qur'ani ndiyo inayo endeshewa milima, na kupasuliwa ardhi, na kusemeshewa wafu,
- Na walikuwa wakishikilia kufanya madhambi makubwa,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers