Surah Assaaffat aya 60 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّ هَٰذَا لَهُوَ الْفَوْزُ الْعَظِيمُ﴾
[ الصافات: 60]
Hakika huku bila ya shaka ndiko kufuzu kukubwa.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, this is the great attainment.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika huku bila ya shaka ndiko kufuzu kukubwa.
Hakika haya aliyo tupa Mwenyezi Mungu katika ukarimu wa Peponi bila ya shaka ndiyo kufuzu kukubwa, na kuvuka kukuu na hiyo adhabu tuliyo kuwa tunatahadhari nayo tangu duniani.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wawe wameegemea matandiko yenye bit'ana ya hariri nzito; na matunda ya Bustani hizo yapo karibu.
- Wala hatamki kwa matamanio.
- Kisha nyinyi kwa nyinyi mnauwana, na mnawatoa baadhi yenu majumbani kwao, mkisaidiana kwa dhambi na
- Na milima jinsi ilivyo thibitishwa?
- Na haiwafikii Ishara yoyote katika Ishara za Mola wao Mlezi ila wao huwa ni wenye
- Kila kilioko juu yake kitatoweka.
- Siku hiyo mtu atasema: Yako wapi makimbilio?
- Sema: Tarajieni, na mimi pia ni pamoja nanyi katika kutarajia.
- Kwa hakika wale walio kuwa wakosefu walikuwa wakiwacheka walio amini.
- Na hakika sisi ndio wenye kusabihi kutakasa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers