Surah Assaaffat aya 61 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لِمِثْلِ هَٰذَا فَلْيَعْمَلِ الْعَامِلُونَ﴾
[ الصافات: 61]
Kwa mfano wa haya nawatende watendao.
Surah As-Saaffat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
For the like of this let the workers [on earth] work.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kwa mfano wa haya nawatende watendao.
Ili wapate ukarimu wa Akhera kama walio bahatika kuupata Waumini, basi nawafanye kazi duniani hao wafanyao kazi, ili wapate kama walio pata wao.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Lakini tulimtupa ufukweni patupu, hali yu mgonjwa.
- Kisha tukawatimizia miadi, na tukawaokoa wao na tulio wataka, na tukawateketeza walio pita mipaka.
- Na tulio wapa Kitabu wanafurahia uliyo teremshiwa. Na katika makundi mengine wapo wanao yakataa baadhi
- Yawe haya ni kifumbua macho na ukumbusho kwa kila mja mwenye kuelekea.
- Musa akarudi kwa watu wake kwa ghadhabu na kusikitika. Akasema: Enyi watu wangu! Kwani Mola
- Hakika katika hayo ipo Ishara, lakini hawakuwa wengi wao wenye kuamini.
- Siku ambayo hila zao hazitawafaa hata kidogo, wala wao hawatanusuriwa.
- Mwenyezi Mungu ndiye aliye ifanya bahari ikutumikieni, ili humo zipite marikebu kwa amri yake, na
- Tulimpeleka Nuhu kwa kaumu yake, naye akasema: Enyi kaumu yangu! Muabuduni Mwenyezi Mungu. Nyinyi hamna
- Wanawake wazuri wanao tawishwa katika makhema.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



