Surah Kahf aya 66 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالَ لَهُ مُوسَىٰ هَلْ أَتَّبِعُكَ عَلَىٰ أَن تُعَلِّمَنِ مِمَّا عُلِّمْتَ رُشْدًا﴾
[ الكهف: 66]
Musa akamwambia: Nikufuate ili unifunze katika ule uwongofu ulio funzwa wewe?
Surah Al-Kahf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Moses said to him, "May I follow you on [the condition] that you teach me from what you have been taught of sound judgement?"
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Musa akamwambia: Nikufuate ili unifunze katika ule uwongofu ulio funzwa wewe?
Musa akamwambia yule mja mwema: Je nende nawe upate kunifunza nami aliyo kufunza Mwenyezi Mungu?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Mwenzake akamwambia kwa kubishana naye: Je! Unamkufuru aliye kuumba kutokana na udongo, tena kutokana na
- Na wanamfanyia Mwenyezi Mungu ati ana mabinti, Subhanahu, Aliye takasika! Na wao wenyewe, ati ndio
- Ole wako, ole wako!
- Akasema (kijana): Waona! Pale tulipo pumzika penye jabali basi mimi nilimsahau yule samaki. Na hapana
- Je! Mnauona moto mnao uwasha?
- Na akawaumba majini kwa ulimi wa moto.
- Enyi mlio amini! Zikumbukeni neema za Mwenyezi Mungu zilio juu yenu. Pale yalipo kufikilieni majeshi,
- Watasema: Ni vya Mwenyezi Mungu! Sema: Basi, je, hamkumbuki?
- Na humo watanyweshwa kinywaji kilicho changanyika na tangawizi.
- Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na neema,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Kahf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Kahf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Kahf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers