Surah Ibrahim aya 25 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ibrahim aya 25 in arabic text(Abraham).
  
   

﴿تُؤْتِي أُكُلَهَا كُلَّ حِينٍ بِإِذْنِ رَبِّهَا ۗ وَيَضْرِبُ اللَّهُ الْأَمْثَالَ لِلنَّاسِ لَعَلَّهُمْ يَتَذَكَّرُونَ
[ إبراهيم: 25]

Hutoa matunda yake kila wakati kwa idhini ya Mola wake Mlezi. Na Mwenyezi Mungu huwapigia watu mifano ili wapate kukumbuka.

Surah Ibrahim in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


It produces its fruit all the time, by permission of its Lord. And Allah presents examples for the people that perhaps they will be reminded.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hutoa matunda yake kila wakati kwa idhini ya Mola wake Mlezi. Na Mwenyezi Mungu huwapigia watu mifano ili wapate kukumbuka.


Hutoa matunda yake kila wakati aliyo uweka Mwenyezi Mungu yazae kwa mapendekezo ya aliye yaumba. Hivyo hivyo ndio tamshi la Tawhid, Upweke wa Mwenyezi Mungu, ni lenye kuthibiti katika moyo wa Muumini. amali yake inapanda kwa Mwenyezi Mungu, na inamfikilia baraka zake na thawabu zake kila wakati. Na Mwenyezi Mungu anawabainishia watu kwa mifano, anashabihisha maana kwa vitu wavijuavyo ili Waumini wawaidhike.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 25 from Ibrahim


Ayats from Quran in Swahili

  1. Ila mkewe. Tunakadiria huyo atakuwa miongoni watao bakia nyuma.
  2. Haiwi kwa Mwenyezi Mungu kuwa na mwana, Subhanahu, Yeye ametakasika! Anapo lihukumia jambo basi huliambia
  3. Na tumefanya usiku na mchana kuwa ishara mbili. Tena tukaifuta ishara ya usiku, na tukaifanya
  4. Na mtaje Maryamu katika Kitabu, pale alipo jitenga na jamaa zake mahali upande wa mashariki;
  5. Tukasema: Ewe Adam! Hakika huyu ni adui yako na wa mkeo. Basi asikutoeni katika Bustani
  6. Wewe huingiza usiku katika mchana, na huuingiza mchana katika usiku. Na humtoa hai kutokana na
  7. Na nini hicho kilichomo mkononi mwako wa kulia, ewe Musa?
  8. Na atakaye jiepusha na mawaidha yangu, basi kwa yakini atapata maisha yenye dhiki, na Siku
  9. Na hakuna chochote ila asili yake inatokana na Sisi; wala hatukiteremshi ila kwa kipimo maalumu.
  10. Na wanasema: Kwa nini hakuteremshiwa Ishara kutoka kwa Mola wake Mlezi? Sema: Mambo ya ghaibu

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ibrahim with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ibrahim mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ibrahim Complete with high quality
Surah Ibrahim Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ibrahim Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ibrahim Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ibrahim Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ibrahim Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ibrahim Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ibrahim Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Ibrahim Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ibrahim Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ibrahim Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ibrahim Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ibrahim Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ibrahim Al Hosary
Al Hosary
Surah Ibrahim Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ibrahim Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, May 12, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب