Surah Waqiah aya 78 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فِي كِتَابٍ مَّكْنُونٍ﴾
[ الواقعة: 78]
Katika Kitabu kilicho hifadhiwa.
Surah Al-Waqiah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
In a Register well-protected;
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Katika Kitabu kilicho hifadhiwa.
Imo katika ubao ulio hifadhiwa Al-lauhu-lmahfudh, usio karibiwa na yeyote ila Malaika walio karibishwa kwa Mwenyezi Mungu. (Kwa watumiaji Computer wanaweza kukisia kuwa hiyo Al-lauhu-lmahfudh ni kama Disk iliyomo ndani ya Computer na haigusi mtu, na Misahafu tunayo iona, na kuisoma, ni kama yapigwayo chapa kutoka hiyo Disk.)
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wala msiwe kama wale walio toka majumbani mwao kwa fakhari na kujionyesha kwa watu, na
- Sema: Kweli imefika, na uwongo haujitokezi, wala haurudi.
- Na tumemuusia mtu kwa wazazi wake wawili. Mama yake ameichukua mimba yake kwa udhaifu juu
- Hao juu yao zitakuwa baraka zitokazo kwa Mola wao Mlezi na rehema. Nao ndio wenye
- Au ni kama giza katika bahari kuu, iliyo funikwa na mawimbi juu ya mawimbi, na
- Siku ambayo hila zao hazitawafaa hata kidogo, wala wao hawatanusuriwa.
- Na tukakunyanyulia utajo wako?
- Na Ismail, na Al Yasaa, na Yunus, na Lut'. Na wote tuliwafadhilisha juu ya walimwengu
- Na wale ambao wanapo tumia hawatumii kwa fujo wala hawafanyi ubakhili, bali wanakuwa katikati baina
- Ili tukuonyeshe baadhi ya ishara zetu kubwa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Waqiah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Waqiah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Waqiah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



