Surah Waqiah aya 79 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَّا يَمَسُّهُ إِلَّا الْمُطَهَّرُونَ﴾
[ الواقعة: 79]
Hapana akigusaye ila walio takaswa.
Surah Al-Waqiah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
None touch it except the purified.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hapana akigusaye ila walio takaswa.
Hawaigusi Qurani Tukufu ila walio tahirika na najisi na hadathi, vitengua udhu;
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na nyuma yao ipo Jahannamu. Na walio yachuma hayatawafaa hata kidogo, wala walinzi walio washika
- Na Mwenyezi Mungu amekukunjulieni ardhi kama busati.
- Mtakuwa nao uhai mzuri katika kulipiza kisasi enyi wenye akili, ili msalimike.
- Na wanaapa kwa Mwenyezi Mungu ukomo wa kiapo chao ya kwamba ukiwaamrisha kwa yakini watatoka.
- Na wakaomba ushindi, na akashindwa kila jabari mkaidi,
- Ametukuka aliye zijaalia nyota mbinguni, na akajaalia humo taa na mwezi unao ng'ara.
- Na nini hicho kilichomo mkononi mwako wa kulia, ewe Musa?
- Na mkichelea kutakuwapo mfarakano baina ya mke na mume basi pelekeni muamuzi kutokana na jamaa
- Na wanasema: Ahadi hii itatokea lini, ikiwa mnasema kweli?
- Na ili nyoyo za wasio amini Akhera zielekee hayo, nao wayaridhie na wayachume wanayo yachuma.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Waqiah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Waqiah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Waqiah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers