Surah Qiyamah aya 16 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿لَا تُحَرِّكْ بِهِ لِسَانَكَ لِتَعْجَلَ بِهِ﴾
[ القيامة: 16]
Usiutikisie huu wahyi ulimi wako kwa kuufanyia haraka.
Surah Al-Qiyamah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Move not your tongue with it, [O Muhammad], to hasten with recitation of the Qur'an.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Usiutikisie huu wahyi ulimi wako kwa kuufanyia haraka.
Usiuharikishe ulimi wako kwa kuisoma Qurani na kujaribu kuihifadhi kwa haraka pale unapo teremshiwa kwa Wahyi.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na kila mtu tumemfungia a'mali yake shingoni mwake. Na Siku ya Kiyama tutamtolea kitabu atakacho
- Akasema: Inshaallah, Mwenyezi Mungu akipenda, utaniona mvumilivu, wala sitoasi amri yako.
- Katika nchi iliyo karibu. Nao baada ya kushindwa kwao watashinda
- Hayo tuliwalipa kwa sababu ya walivyo kufuru. Nasi kwani tunamuadhibu isipo kuwa anaye kufuru?
- Na hiyo ni mifano tunawapigia watu, na hawaifahamu ila wenye ilimu.
- Kwa ajili ya watu wa kuliani.
- Basi mtayakumbuka ninayo kuambieni. Nami namkabidhi Mwenyezi Mungu mambo yangu. Hakika Mwenyezi Mungu anawaona waja
- Na kama wakigeuka, basi sema: Nimekutangazieni sawa sawa, wala sijui yako karibu au mbali hayo
- Ni kama wale walio kuwa kabla yenu. Walikuwa wana nguvu na mali na watoto zaidi
- Na watakao kuwa na uzani khafifu, basi hao ndio walio zitia khasarani nafsi zao kwa
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qiyamah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qiyamah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qiyamah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers