Surah Sad aya 81 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِلَىٰ يَوْمِ الْوَقْتِ الْمَعْلُومِ﴾
[ ص: 81]
Mpaka siku ya wakati maalumu.
Surah Saad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Until the Day of the time well-known."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Mpaka siku ya wakati maalumu.
Akasema Mwenyezi Mungu Mtukufu: Basi wewe utaakhirishwa, utapewa muhula, mpaka siku ya wakati tunao ujua Sisi, nao ni kumalizika dunia.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na alipo liona jua linachomoza akasema: Huyu ndiye Mola Mlezi wangu. Huyu mkubwa kuliko wote.
- Basi ni kwa sababu ya rehema itokayo kwa Mwenyezi Mungu ndio umekuwa laini kwao. Na
- Ambaye nyuma yake ipo Jahannamu, na atanywishwa maji ya usaha.
- Ili tuwajaribu kwa hayo. Na anaye puuza kumkumbuka Mola wake Mlezi atamsukuma kwenye adhabu ngumu.
- --katika mambo ya dunia na mambo ya Akhera. Na wanakuuliza juu ya mayatima. Sema: Kuwatengenezea
- Na tukawaumbia kutoka mfano wake wanavyo vipanda.
- Hizi ni khabari za ghaibu tunazo kufunulia; nawe hukuwa nao walipo kuwa wakitupa kalamu zao
- Na hakika bila ya shaka haya yamo katika Vitabu vya kale.
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Bila ya shaka angeli kaa ndani yake mpaka siku ya kufufuliwa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Sad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Sad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



