Surah Al Alaq aya 6 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿كَلَّا إِنَّ الْإِنسَانَ لَيَطْغَىٰ﴾
[ العلق: 6]
Kwani! Hakika mtu bila ya shaka huwa jeuri
Surah Al-Alaq in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
No! [But] indeed, man transgresses
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kwani! Hakika mtu bila ya shaka huwa jeuri.
Ni hakika kweli mtu hupindukia mpaka na hupanda kiburi mbele ya Mola wake Mlezi
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- (Waambiwe): Huu ndio ule Moto mlio kuwa mkiukanusha!
- Ya kwamba mumuabudu Mwenyezi Mungu, na mumche Yeye, na mumt'ii.
- Isipo kuwa mwenye kusikiliza kwa kuibia, naye hufuatwa na kijinga cha moto kinacho onekana.
- Na haikuwa ibada yao kwenye hiyo Nyumba (Al Kaaba) ila ni kupiga miunzi na makofi.
- Sema: Je! Mwaonaje zile riziki alizo kuteremshieni Mwenyezi Mungu, nanyi mkafanya katika hizo nyengine haramu
- Je! Hawawaoni ndege walivyo wat'iifu katika anga la mbingu? Hapana mwenye kuwashika isipo kuwa Mwenyezi
- Na bila shaka Jahannamu ndipo pahali pao walipo ahidiwa wote.
- Siku hiyo ndiyo kuchungwa kupelekwa kwa Mola wako Mlezi!
- Na watazame, nao wataona.
- Mwenye Kiti cha Enzi, Mtukufu,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Alaq with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Alaq mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Alaq Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



