Surah Mutaffifin aya 7 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Mutaffifin aya 7 in arabic text(The Dealers in Fraud - The Cheats).
  
   

﴿كَلَّا إِنَّ كِتَابَ الْفُجَّارِ لَفِي سِجِّينٍ﴾
[ المطففين: 7]

Hasha! Hakika maandiko ya wakosefu bila ya shaka yamo katika Sijjin.

Surah Al-Mutaffifin in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


No! Indeed, the record of the wicked is in sijjeen.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hasha! Hakika maandiko ya wakosefu bila ya shaka yamo katika Sijjin.


Wacheni kupunja, na kughafilika na kufufuliwa! Kwani hakika waliyo andikiwa wakosefu katika amali zao mbovu, bila ya shaka yamo katika Sijjin.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 7 from Mutaffifin


Ayats from Quran in Swahili

  1. Kwa hakika watu hawa wanapenda maisha ya kidunia, na wanaiacha nyuma yao siku nzito.
  2. Je! Hawawaoni ndege walivyo wat'iifu katika anga la mbingu? Hapana mwenye kuwashika isipo kuwa Mwenyezi
  3. Na ambaye Mwenyezi Mungu anamwongoa hana wa kumpotoa. Je! Mwenyezi Mungu si Mwenye nguvu anaye
  4. (Musa) akasema: Basi ondoka! Na kwa yakini utakuwa katika maisha ukisema: Usiniguse. Na hakika una
  5. Wakamkanusha; nasi tukawaangamiza. Hakika bila ya shaka katika haya ipo Ishara. Lakini hawakuwa wengi wao
  6. Nayo ni Jahannamu! Maovu yaliyoje makaazi hayo!
  7. Au atawaidhika, na mawaidha yamfae?
  8. Na wakasema: Kuweni Mayahudi au Wakristo ndio mtaongoka. Sema: Bali tunashika mila ya Ibrahim mwongofu,
  9. Na Yeye ndiye aliye kuhuisheni kisha akakufisheni, na kisha atakufufueni. Hakika mwanaadamu hana fadhila.
  10. Musa akasema: Wewe unajua bila ya shaka kuwa haya hakuyateremsha ila Mola Mlezi wa mbingu

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Mutaffifin with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Mutaffifin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mutaffifin Complete with high quality
Surah Mutaffifin Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Mutaffifin Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Mutaffifin Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Mutaffifin Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Mutaffifin Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Mutaffifin Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Mutaffifin Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Mutaffifin Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Mutaffifin Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Mutaffifin Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Mutaffifin Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Mutaffifin Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Mutaffifin Al Hosary
Al Hosary
Surah Mutaffifin Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Mutaffifin Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, July 4, 2026

Please remember us in your sincere prayers