Surah Qiyamah aya 28 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَظَنَّ أَنَّهُ الْفِرَاقُ﴾
[ القيامة: 28]
Na mwenyewe akajua kwa hakika kuwa huko ndiko kufariki;
Surah Al-Qiyamah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And the dying one is certain that it is the [time of] separation
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na mwenyewe akajua kwa hakika kuwa huko ndiko kufariki;
Akayakinisha yule yaliyo mfika mauti kama lililo mshukia ni kuiacha dunia inayo pendwa, na imekwisha mfika shida yake kikomo cha mwisho.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hawatausikia mvumo wake, na wao watadumu katika yale zinayo yatamani nafsi zao.
- Na soma uliyo funuliwa katika Kitabu cha Mola wako Mlezi. Hapana wa kubadilisha maneno yake.
- Enyi watu! Mcheni Mola wenu Mlezi aliye kuumbeni kutokana na nafsi moja, na akamuumba mkewe
- Au wanadhani kwamba hatusikii siri zao na minong'ono yao? Wapi! Na wajumbe wetu wapo karibu
- Hakika walio kufuru na wakafa hali ni makafiri, hao iko juu yao laana ya Mwenyezi
- Nendeni kwenye kivuli chenye mapande matatu!
- Mbavu zao zinaachana na vitanda kwa kumwomba Mola wao Mlezi kwa khofu na kutumaini, na
- Ndio hivi! Basi na wayaonje maji ya moto na ya usaha!
- Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
- Mkiwaomba hawasikii maombi yenu; na hata wakisikia hawakujibuni. Na Siku ya Kiyama watakataa ushirikina wenu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qiyamah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qiyamah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qiyamah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers