Surah Takwir aya 9 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿بِأَيِّ ذَنبٍ قُتِلَتْ﴾
[ التكوير: 9]
Kwa kosa gani aliuliwa?
Surah At-Takwir in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
For what sin she was killed
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kwa kosa gani aliuliwa?
Kwa makosa gani kauliwa, naye hana dhambi? (Ilikuwa ada ya makafiri wa Kiarabu kabla ya Uislamu kuwazika watoto wao wa kike nao wahai! Baadhi ya Mabaniani wanawauwa watoto wao wa kike hata hivi leo huko India!!)
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na ukiwauliza: Nani aliye ziumba mbingu na ardhi? Bila ya shaka watasema: Mwenyezi Mungu. Wewe
- Yeye na Malaika wake ndio wanakurehemuni ili kukutoeni gizani mwende kwenye nuru. Naye ni Mwenye
- Siku zitakapo tikisika mbingu kwa mtikiso,
- Siku watakapo kokotwa Motoni kifudifudi waambiwe: Onjeni mguso wa Jahannamu!
- Na shari ya giza la usiku liingiapo,
- Na tumemuusia mtu kwa wazazi wake wawili. Mama yake ameichukua mimba yake kwa udhaifu juu
- Siku hiyo watu watatoka kwa mfarakano wakaonyweshwe vitendo vyao!
- Basi walipo kuja wachawi, Musa aliwaambia: Tupeni mnavyo tupa!
- Ama kina A'di walijivuna katika nchi bila ya haki, na wakasema: Nani aliye kuwa na
- Na vyovyote vile, tukikuonyesha baadhi ya tunayo waahidi, au tukakufisha kabla yake, marejeo yao ni
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Takwir with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Takwir mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Takwir Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers