Surah Takwir aya 9 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿بِأَيِّ ذَنبٍ قُتِلَتْ﴾
[ التكوير: 9]
Kwa kosa gani aliuliwa?
Surah At-Takwir in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
For what sin she was killed
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kwa kosa gani aliuliwa?
Kwa makosa gani kauliwa, naye hana dhambi? (Ilikuwa ada ya makafiri wa Kiarabu kabla ya Uislamu kuwazika watoto wao wa kike nao wahai! Baadhi ya Mabaniani wanawauwa watoto wao wa kike hata hivi leo huko India!!)
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na kwa ardhi na kwa aliye itandaza!
- Akasema: Basi toka humo, kwani hakika wewe umelaanika.
- Awe anayagugumia, wala hawezi kuyameza. Na mauti yawe yanamjia kutoka kila upande, naye wala hafi.
- Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.
- Haikufunuliwa kwangu isipo kuwa ya kwamba hakika mimi ni mwonyaji dhaahiri.
- Na wana wanao onekana,
- Na nitakapo mkamilisha na kumpulizia roho inayo tokana nami, basi muangukieni kwa kumt'ii.
- Yenye moto wenye kuni nyingi,
- Na hakika wao kwetu sisi ni wateuliwa walio bora.
- Si vibaya kwenu kuingia nyumba zisio kaliwa ambazo ndani yake yamo manufaa yenu. Na Mwenyezi
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Takwir with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Takwir mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Takwir Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers