Surah Insan aya 22 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّ هَٰذَا كَانَ لَكُمْ جَزَاءً وَكَانَ سَعْيُكُم مَّشْكُورًا﴾
[ الإنسان: 22]
Hakika haya ni malipo yenu; na juhudi zenu zimekubaliwa.
Surah Al-Insan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[And it will be said], "Indeed, this is for you a reward, and your effort has been appreciated."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika haya ni malipo yenu; na juhudi zenu zimekubaliwa.
Hakika neema hizi ameziandaa kwa kukulipeni kwa vitendo vyenu. Na hizo juhudi zenu duniani ni zenye kusifika kwa Mwenyezi Mungu, na zinampendeza, na zimekubaliwa.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Aibu yenu nyinyi na hivyo mnavyo viabudu badala ya Mwenyezi Mungu! Basi nyinyi hamtii akilini?
- Isipo kuwa kwa wake zao au kwa iliyo wamiliki mikono yao ya kulia. Kwani hao
- Kwa hakika Mwenyezi Mungu ni Mola wangu Mlezi, na ni Mola wenu Mlezi. Basi Muabuduni
- Akakusanya watu akanadi.
- Na nimtendee wema mama yangu. Wala hakunifanya niwe jeuri, mwovu.
- Na tutatoa shahidi katika kila umma, na tutasema: Leteni hoja zenu! Hapo watajua kwamba hakika
- Bustani za milele zitazo funguliwa milango yao kwa ajili yao.
- Na mwenye kuhama katika Njia ya Mwenyezi Mungu atapata pengi duniani pa kukimbilia, na atapata
- A'yn Sin Qaf
- Ni maneno haya ndiyo nyinyi mnayapuuza?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Insan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Insan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Insan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers