Surah Insan aya 22 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّ هَٰذَا كَانَ لَكُمْ جَزَاءً وَكَانَ سَعْيُكُم مَّشْكُورًا﴾
[ الإنسان: 22]
Hakika haya ni malipo yenu; na juhudi zenu zimekubaliwa.
Surah Al-Insan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[And it will be said], "Indeed, this is for you a reward, and your effort has been appreciated."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika haya ni malipo yenu; na juhudi zenu zimekubaliwa.
Hakika neema hizi ameziandaa kwa kukulipeni kwa vitendo vyenu. Na hizo juhudi zenu duniani ni zenye kusifika kwa Mwenyezi Mungu, na zinampendeza, na zimekubaliwa.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi alipo wafikia Musa na Ishara zetu, walisema: Haya si chochote ila ni uchawi ulio
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
- Na walisema walio kufuru: Hatutaiamini Qur'ani hii, wala yaliyo kuwa kabla yake. Na ungeli waona
- Wakasema: Mjengeeni jengo, na kisha mtupeni motoni humo!
- Alif Lam Mim (A. L. M.)
- Na mwenye kuhama katika Njia ya Mwenyezi Mungu atapata pengi duniani pa kukimbilia, na atapata
- Tukasema: Usikhofu! Hakika wewe ndiye utakaye shinda.
- Na kwa yakini tulimpa Musa ishara tisa zilizo wazi. Waulize Wana wa Israili alipo wafikia,
- Hakika adhabu ya Mola wako Mlezi hapana shaka itatokea.
- Alisema (Luut'i): Hakika nyinyi ni watu msio juulikana.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Insan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Insan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Insan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers