Surah Kahf aya 91 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿كَذَٰلِكَ وَقَدْ أَحَطْنَا بِمَا لَدَيْهِ خُبْرًا﴾
[ الكهف: 91]
Ndio hivyo hivyo. Na Sisi tulizijua vilivyo khabari zake zote.
Surah Al-Kahf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Thus. And We had encompassed [all] that he had in knowledge.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ndio hivyo hivyo. Na Sisi tulizijua vilivyo khabari zake zote.
Na kama Dhul-Qarnaini alivyo waita watu wa magharibi waje kuamini basi kadhaalika aliwaita hawa, na akenda nao mwendo ule ule wake wa mwanzo.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Bustani za milele alizo waahidi Rahmani waja wake katika siri. Hakika ahadi yake hapana shaka
- Fuateni mliyo teremshiwa kutoka kwa Mola Mlezi wenu, wala msifuate rafiki au walinzi wengine badala
- Na walikwenda asubuhi, nao wameshikilia azimio hilo.
- Siku watapo msimamia watu Mola Mlezi wa walimwengu wote?
- Na hakika yeye mwenyewe bila ya shaka ni shahidi wa hayo!
- Sema: Je! Mnawaabudu, badala ya Mwenyezi Mungu, wale ambao hawawezi kukudhuruni wala kukufaeni? Na Mwenyezi
- H'a Mim
- Na hakika malipo ya Akhera ni bora zaidi, kwa walio amini na wakawa wachamngu.
- Akasema: Ewe Mola wangu Mlezi! Ninusuru na watu mafisadi hawa!
- Ambaye hutoa mali yake kwa ajili ya kujitakasa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Kahf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Kahf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Kahf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers